Kujenga nyumba - Gharama za engineer na mafundi wake

Kujenga nyumba - Gharama za engineer na mafundi wake

Kujenga kama unatumia fundi mchundo/engineer wa mtaani. Lazima ugawe kwa phase lakini kaka umegawa kwa bei rahisi sana. Msingi umegawanyika, kwanza kuna kuchimba msingi hapa sio chini ya 800,000 kisha baada ya hapo kuna kumwaga zege la blinding hapa napo weka kama 500,000 kisha kuna kusuka nondo za beam za chini na base vitako hapa weka kama 300,000. Kisha kuna kupandisha kuta za msingi weka kama 800,000. Kisha kuna kutoa udongo ulioza, kujaza mchanga na kupanga mawe weka 1,000,000. Baada ya hapo kuna kusuka nondo za beam kabla ya slab hapo weka 500,000. Kisha unamwaga jamvi weka 1,250,000.

Sijakuchanganulia slab ya juu ambayo imegawanyika sehemu kuu tatu. kwanza kuna foarmwork ambayo sio chini ya 1.25 million, kuna kusuka chuma ambapo ni kama 1.25 million, kuna fundi umeme weka 700,000 kumwaga slab weka 1.5 million.

Mkuu Bei zako utafikiri tenda ya Halmashauri!
Hizi bei ni kubwa mno. Au umeipa tenda kampuni ya mhindi ikujengee?
 
Ninakushauri fuata taratibu na kanuni zote za ujenzi,

Bodi ya ukandarasi ipo makini sana kwa wale waendao kinyume!

Tumia kampuni ya ukandarasi iliyosajiliwa kihalali na bodi ya ukandarasi nchini,

Gharama za mkandarasi zisikufanye ukavunja sheria za ujenzi kwa hasara utakayopata nikubwa zaidi ikiwa utabainika kuvunja sheria husika!

Maeneo uliyoyataja Kigamboni nk ni sehemu inayomulikwa kwa ukaribu zaidi na CRB,

Usiogope gharama mkuu, ninakushauri kwa uzoefu wangu kama mkandarasi hapa nchini!

Wasiliana nami mkuu ikiwa utapendezwa kujenga kwakuzingatia sheria tajwa!
 
If u wish 2wasiliane everything ntakusimamia plus mafundi wazoefu na wenye experience.kama ramani huna naweza kukudesgnia kulingana na mahitaji yako.email david08606@Gmail.com no 0659497070
 
Ushauri tuu kumbuka muoshwa huoshwa. Usijenge gorofa kama huna pesa ambayo ni determine utaacha gofu mjini hapo

cjengi kwa kutegemea hayo nimeeleza tu wapi pa kupata urahis wa vifaa vya ujenzi kwa wasio na uwezo na sio lazma ghorofa hata za kawaida.na usishangae watu wanajenga sana kwa bei nafuu na mie ninayeongea najua nn namaanisha.
 
Thx JF,
nimefumbuka macho!
i thought this site was all about ccm and Chadema, and @Lara-i-dont-know-how-much only!
 
cjengi kwa kutegemea hayo nimeeleza tu wapi pa kupata urahis wa vifaa vya ujenzi kwa wasio na uwezo na sio lazma ghorofa hata za kawaida.na usishangae watu wanajenga sana kwa bei nafuu na mie ninayeongea najua nn namaanisha.

Nimekuandikia pm, umeiona?
 
Ninakushauri fuata taratibu na kanuni zote za ujenzi,

Bodi ya ukandarasi ipo makini sana kwa wale waendao kinyume!

Tumia kampuni ya ukandarasi iliyosajiliwa kihalali na bodi ya ukandarasi nchini,

Gharama za mkandarasi zisikufanye ukavunja sheria za ujenzi kwa hasara utakayopata nikubwa zaidi ikiwa utabainika kuvunja sheria husika!

Maeneo uliyoyataja Kigamboni nk ni sehemu inayomulikwa kwa ukaribu zaidi na CRB,

Usiogope gharama mkuu, ninakushauri kwa uzoefu wangu kama mkandarasi hapa nchini!

Wasiliana nami mkuu ikiwa utapendezwa kujenga kwakuzingatia sheria tajwa!

Yericko, acha porojo.

Mdau anauliza makadirio ya gharama. Wewe umejitambulisha kuwa ni mkandarasi, je kwanini usitoe angalau makadiro ya gharama kama mdau alivyouliza?

Hayo mambo ya kupelekana chamber yanaondoa mantiki ya hili jukwaa.
 
Gorofa sio lele mama, ukiona mtu kalijenga basi lione hivyo hivyo. Ufundi msingi wa gorofa sio chini ya Million 5 muulize aliyeujenga.

Kuna siri ya kupunguza gharama za ujenzi. Usiweke emotions kwenye maamuzi halafu whenever possible take your time to search enough information before taking any action.
 
Ninakushauri fuata taratibu na kanuni zote za ujenzi,

Bodi ya ukandarasi ipo makini sana kwa wale waendao kinyume!

Tumia kampuni ya ukandarasi iliyosajiliwa kihalali na bodi ya ukandarasi nchini,

Gharama za mkandarasi zisikufanye ukavunja sheria za ujenzi kwa hasara utakayopata nikubwa zaidi ikiwa utabainika kuvunja sheria husika!

Maeneo uliyoyataja Kigamboni nk ni sehemu inayomulikwa kwa ukaribu zaidi na CRB,

Usiogope gharama mkuu, ninakushauri kwa uzoefu wangu kama mkandarasi hapa nchini!

Wasiliana nami mkuu ikiwa utapendezwa kujenga kwakuzingatia sheria tajwa!

Kwenda bodi ya Wakandarasi wataenda wahindi wa KKoo, requirement zao ni wazimu mtupu. Fundi mchundo hana Bango wao wanataka sijui Bango, sijui Insurance, sijui awe amesajiliwa, sijiu nini.

Hii ndio way forward wewe jenga wakija wale watoto wao (maana wengi ni watoto walio maliza shule mwaka jana) wana njaa, mpe kama kilo basi. Maliza funga ukuta weka alama MBWA MKALI. Mimi nimejenga na nakalibia kumaliza. Hawana kazi wajinga wale.

Hawa watoto walisoma UDSM civil ambao wanajiita wakandarasi ndio majanga matupu, watakupa bei zao za wizi na kisha ujenzi wao umebase kwenye metrics ambazo ni unrealistic. Chukua mchundo mwenye experience kama unajenga one floor. Achana na watoto wa chuo.
 
Kujenga kama unatumia fundi mchundo/engineer wa mtaani. Lazima ugawe kwa phase lakini kaka umegawa kwa bei rahisi sana. Msingi umegawanyika, kwanza kuna kuchimba msingi hapa sio chini ya 800,000 kisha baada ya hapo kuna kumwaga zege la blinding hapa napo weka kama 500,000 kisha kuna kusuka nondo za beam za chini na base vitako hapa weka kama 300,000. Kisha kuna kupandisha kuta za msingi weka kama 800,000. Kisha kuna kutoa udongo ulioza, kujaza mchanga na kupanga mawe weka 1,000,000. Baada ya hapo kuna kusuka nondo za beam kabla ya slab hapo weka 500,000. Kisha unamwaga jamvi weka 1,250,000.

Sijakuchanganulia slab ya juu ambayo imegawanyika sehemu kuu tatu. kwanza kuna foarmwork ambayo sio chini ya 1.25 million, kuna kusuka chuma ambapo ni kama 1.25 million, kuna fundi umeme weka 700,000 kumwaga slab weka 1.5 million.

Mkuu nakushukuru sana wewe na wanaJF wengine waliotoa mchango wao katika ombi langu. Nafikiri kwa mawazo haya bila shaka mwongozo fulani umepatikana ambao utasaidia katika mchakato wa kazi yenyewe. Nawashakuru sana na nimekubali kwamba hapa JF hakuna linaloshindikana. Mbarikiwe sana. Nitarudi tena kuangalia kama kuna mawazo mapya yamejitokeza.
 
Wabongo kweli ni noma, mtu ana justify wizi wake kwa kigezo cha umaskini! Ninyi ndo mnasababisha maghorofa yanaanguka na kuua watu kutokana na wizi mnaoufanya, sababu sehemu iliyopangwa ijengwe kwa mifuko mitano ya cement mnaiba hapo mitatu na hivyo inajengwa kwa mifuko miwili tu.
pale kutakuwa na makampun 17 yatayofanya kazi ni mradi wa nssf phase 3,mkabala na nyumba za NHC.kuna ujenzi wa magorofa means ghorofa 2na kuendelea. mi npo kwenye moja ya kampun zitazojenga na kipindi kilichopita tulijenga kwa hiyo ni mzoefu wa zaga.mfano wa bei za vitu
cement mfuko 10,000 zaga zikiwa nyingi hadi 5000 kwa mfuko.
-nondo tunanunua
mm :12 sh.10,000 kwa
mm: 16 sh. 15,000-20,000
mm: 10 had 8 sh.8000
ndoo za rangi weather guard ya 150,000 dukani tunanunua 50,000 zikizidi hadi 30,000
ndoo za rangi nyeupe au za kawaida 15,000 hadi 20,000.
bati za kisasa maelewano hata 3000 kwa moja unachukua kutegemea mafundi wamefulia vp.
marine plywood hata mi nimeuza sana sh.15,000 moja
mbao 4by 2 sh.3000,
mbao 3 by 2 sh.2500
mbao 2by 2 sh.1500
milunda sh 500
malumalu,grill jamani.nani na nani wa kuwapata ntawajulisha naogopa kurusha no. za watu humu usije ukawa unaeuliza ni bosi wangu kibarua kitaota nyasi ila kwa atayetaka sisemi uongo cku mtu tembelea ufanye utafiti kuna muda zaga zinakosa watu mafundi wanatafuta pesa za misokoto tuu.kaka zangu dada zangu kwa mshahara wangu ningestaafu cna nyumba ila nimejenga watu wakiiona nyumba yangu hawanisomi.ila siri ni zaga na bonge la project linakuja kwa maskin ni furaha kwetu.ntajua watu gani wa zaga watakuwepo safari hii ntarusha no. zao shughuli itapoanza kwan tunasubir muda wowote kazi zianze.kwa wenye muda unaweza fanya upelelez mwenyewe utapata wauza saga wataokuletea hadi ulipo ila cjui wao huko mtaan wanafanya bei gani kama una muda unatafuta vijana wananunua na kukuletea kwa bei nlizoandika au chini ya hizo.nadhan nimeeleweka ndugu zangu.
 
Wakubwa zangu:

Kuna rafiki yangu anataka kujenga nyumba ya ghorofa moja. Ukubwa wa nyumba ni wastani wa mita za mraba 350 (chini chumba kimoja, jiko, sebule, store, public toilet, study room na dinnig. Juu (Vyumba vitatu) na kila chumba ni self contained.

Materials mwenye nyumba atanunua mwenyewe kulingana na alivyopewa na engineer wake. Gharama za material mpaka kupaua inakadiriwa kuwa 80m


Swali: Engineer na mafundi wake walipwe kiasi gani kwa kuanzia setting ya nyumba, kujenga mpaka kupaua (kuweka vigae) basi. Kiwanja kiko maeneo ya mbweni ni eneo tambarare sana. Kwa mwenye uzoefu naomba asaidie makadirio inaweza kuwa kiasi gani (kwa gharama za mafundi fundi peke yake).

Shukrani sana


  1. labour cost =30% of material cost
  2. profit and overhad =15-20% of material cost
  3. contigency=5% of material cost

unacho kibali cha ujenzi??, na je unao wataalamu wasimamizi wa ujenzi yaani QS,Architect,na Engineer??
kama hauna tuwasiliane kwa mliberalimtanganyika@yahoo.com

 
tafuta QS atakusaidia hao mafundi wa mtaani watakupa hasara na kazi itakua mbovu mwisho wa siku mtengo uanguke. kizuri gharama
 
Yaani usijaribu njia za panya mkuu,,,
kikubwa jipange tafuta registered engineer or company na utamlipa 15-18 percent ya cost ya materials na yeye atakuchaji 27 percent ya materials for labour,najua archtect unae kwani michoro lazima ipitishwe jiji,,baada ya hapo nenda CRB wakusajilie mradi sio pesa nyingi ila wakikumata hujasajili utaona cha moto,,,
yote haya nakwambia kwa sababu mimi najenga huku mwanza,na karibu kila wiki wanakuja wakaguzi wa jiji kuhakikisha vyote hivi nimevifuata,CRB nao hupita,,,,
 
Wabongo kweli ni noma, mtu ana justify wizi wake kwa kigezo cha umaskini! Ninyi ndo mnasababisha maghorofa yanaanguka na kuua watu kutokana na wizi mnaoufanya, sababu sehemu iliyopangwa ijengwe kwa mifuko mitano ya cement mnaiba hapo mitatu na hivyo inajengwa kwa mifuko miwili tu.

Acha upuuzi ww,unadhan makampun yapo choka mbaya ka wewe.nyumba zinasimamiwa kuliko unavyodhan ila kuna ofa za mafundi baadhi ya makampun wanawapa mafundi kila cku.na usifikir fundi anapewa tu cement za kazi zote zinapasuliwa na engineer na kuhakikisha zimefanya kazi.nani anakuambia maskin ndo wananunua vitu huko?migorofa iliyoporomoshwa maeneo ya karibu kwa kununua hizo zaga ni maskin wale?nani anakuambia kwenye miradi hiyo kama cement zitatumika 20 kwa nyumba basi zinakuja 20? umezoea kuiba basi kila kitu unadhan wizi.nimekupa ujumbe ukipenda beba usipopenda potezea hainizuii kwa mi binafsi kufanya mambo yangu.
 
Pole yako, unaingizwa mtegoni na huyu mzee wa system nawe unaingia kichwakichwa kufunguka jinsi mnavyoiba kupitia makampuni ya ujenzi. Kama huwajui wazee wa sekta nyeti wamejazana humu we subiri muziki wake.

huu c wizi rafiki yangu zaga hata mtaani zipo na kama mzee wa sector anajua mpangilio wa material ulivyo.cjaanza kazi hii leo wala jana najua niongeacho na cna hofu kuwapa watu info ila tu sipend wajue mzee wa kazi nawapa info hali wanataka kula wenyewe.
 
Back
Top Bottom