Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Unapopata fundi wa level hizo, Basi jua na wewe wa level hizo. Hata jengo lako litakuwa la level hizoKwanini fundi asi shauri zinazofaa na kusema sababu?
Wezi wezi tu, fundi anaye jithamini hawezi kufanya kazi mbovu
Mwizi mwizi tu.. na kutokutumia akili za kujiwekea level ya juu kikazi
Kataeni kazi kwani lazima?
Na kuna nyumba zinauzwa hizo,,,, ukiwasha sabufa YAKO volume 7 tu! Nyumba yote inaanguka...Hii ni mara yangu ya pili kipitia msoto wa ujenzi.Nilipitia hali hii kwa mara kwanza mwaka 2014.
Ni kero sana. Ni kero sana kufanya kazi na mafundi ambao hawako smart. Huyu atakuharibia kazi, huyu atakuibia materials, yule ni muongo kachukua kazi halafu hafanyi. Yaaani kuna kila aina ya kero.
Nimechoka sana. Sasa naelewa kwa nini baadhi ya watu huamua kununua nyumba tu na kuhamia.
Mafundi wengi wanahitaji usimamizi, ukiondoka tu ,umepigwa. Wengine huo muda hatuna.
Uko sawa kujenga lazima uwe na muda wa kusimamia na wala usimwamini mtu. Ukimwamini mtu inabidi ukubali sub standard job. Kuna mtu alijengewa gorofa bila nguzo za zege, kwenye nguzo walilaza matofali tu. Yeye yuko Sweden na wakapiga lipu faster na kunyoosha nguzo za tofali.Hii ni mara yangu ya pili kipitia msoto wa ujenzi.Nilipitia hali hii kwa mara kwanza mwaka 2014.
Ni kero sana. Ni kero sana kufanya kazi na mafundi ambao hawako smart. Huyu atakuharibia kazi, huyu atakuibia materials, yule ni muongo kachukua kazi halafu hafanyi. Yaaani kuna kila aina ya kero.
Nimechoka sana. Sasa naelewa kwa nini baadhi ya watu huamua kununua nyumba tu na kuhamia.
Mafundi wengi wanahitaji usimamizi, ukiondoka tu, umepigwa. Wengine huo muda hatuna.
Mkuu hata kama wewe si wa hivyo fundi hata umlipe vipi yaani hawathamini kazi zao. Akikufanyia vizuri basi jua anatega kazi ingine hapo ameiona. Hawaoni kuuza mfuko wa cement kwa sh 5000. Kuna jamaa alitaka kunifanyia tuagize mirunda ya ziada akawa kimbelembele. Mirunda tulitakiwa tuongeze 350, akaagiza ikaja ikamwagwa ovyo ovyo na akawa na haraka ya kuitumia nikamwuliza iko mingapi? akasema 350 basi nikasema usiitumie kwanza nikaweka mtu akahesabu ikawa 270. Na huyo mtu graduate kabisa engineer na mimi nipo. Nilipomwuliza vipi yaani akajibu poa tu niliona nijaribu kwanza hii tutaleta ile 80 kama hii haitapungua. Watu si wakweli. Ukiagiza cement huwa zinarudishwa dukani kwa bei ya hasara hata 5000 ili uambiwe iongezwe tena ikiisha.Unapopata fundi wa level hizo, Basi jua na wewe wa level hizo. Hata jengo lako litakuwa la level hizo
Hii ni kweli kabisa. Kuna majilani wawili mmoja ni mdau haswa kila kitu alimwachia fundi. Huyu mmoja ni kawaida tu ila huyu jilani kawaida alikua anashawishiwa na fundi w mdau kuuziwa material ya uizi kutoka kwa site ya boss wake. Nyumba mbili zilijengwa na material ya yule mshua fundi alikua anauza chochote kile kwa jilani mpk aibu. Kuja kushtuka yule boss nyumba imefika 98% kwa jilani. Mafundi n wezi haswa hata ukimtapia alicho taka.Mkuu hata kama wewe si wa hivyo fundi hata umlipe vipi yaani hawathamini kazi zao. Akikufanyia vizuri basi jua anatega kazi ingine hapo ameiona. Hawaoni kuuza mfuko wa cement kwa sh 5000. Kuna jamaa alitaka kunifanyia tuagize mirunda ya ziada akawa kimbelembele. Mirunda tulitakiwa tuongeze 350, akaagiza ikaja ikamwagwa ovyo ovyo na akawa na haraka ya kuitumia nikamwuliza iko mingapi? akasema 350 basi nikasema usiitumie kwanza nikaweka mtu akahesabu ikawa 270. Na huyo mtu graduate kabisa engineer na mimi nipo. Nilipomwuliza vipi yaani akajibu poa tu niliona nijaribu kwanza hii tutaleta ile 80 kama hii haitapungua. Watu si wakweli. Ukiagiza cement huwa zinarudishwa dukani kwa bei ya hasara hata 5000 ili uambiwe iongezwe tena ikiisha.
Sio kama namtetea Rafiki ila Fundi Kichwa kibovu, sababu Fundi akisema akitaka kitu Boss anatoa, akitaka Hela anatoaTatizo boss alinunua Bomba class A.
Ubahiri was boss ulimponza.
Class A tshs 18,000
Class B tshs 39000-45000
Yeye akapenda cheap
BOT, TRA na Bandari ndio wanaongoza kwa wizi japo wanalipwa vyema kuliko wengiUkiona fundi anakuibia
Ukiona fundi anachelewesha kazi
Ukiona fundi anakudanganya au hafiki site
TAMBUA TATIZO NI WEWE. Wengi mnawanyonya Sana mafundi mnapopatana nao kazi. Boss anaelipa vizuri huwa haibiwi na fundi, boss anaelipa vizuri hawezi kuharibiwa kazi kwasababu fundi ana budget ya kutosha.
Kama unajali maslahi ya fundi Basi nae atajali kazi ya boss.
WapoHivi bongo hamna kampuni za ujenzi wa hizi nyumba zetu za kawaida za kuishi.
Wewe ni mwizi tu. Maandishi yako yanaonesha umeibia watu wengi sana.Ukiona fundi anakuibia
Ukiona fundi anachelewesha kazi
Ukiona fundi anakudanganya au hafiki site
TAMBUA TATIZO NI WEWE. Wengi mnawanyonya Sana mafundi mnapopatana nao kazi. Boss anaelipa vizuri huwa haibiwi na fundi, boss anaelipa vizuri hawezi kuharibiwa kazi kwasababu fundi ana budget ya kutosha.
Kama unajali maslahi ya fundi Basi nae atajali kazi ya boss.
Huyu ni mwizi tu.Kwanini ukubali kazi kama pesa haitoshi!?
Lazima fundi anakuwa na malengo, huu sio kitu Cha kujivunia
Muhimu kujiwekea level ambayo haikushishi kikazi.
Yes......pamoja na wizi wanaofanya ,wengi wao hakuna cha maana walichonacho.Na kuna nyumba zinauzwa hizo,,,, ukiwasha sabufa YAKO volume 7 tu! Nyumba yote inaanguka...
Cha msingi ni malezi tu.. mijitu mingi ya bongo inaamini maisha bora yanapatikana katika kuiba na ubadhilifu pale Inapopata nafasi mahala..... Na ndivyo ilivyo lelewa hivyo... Ndoyo maana umasikini hauishi...
Mimi nadhani huyu ni fundiWewe ni mwizi tu. Maandishi yako yanaonesha umeibia watu wengi sana.
Mkuu mi nilishaacha kuchukua mafundi wa mjini, Huwa nawatoa kwetu mkoani ni waaminifu balaa. Unaweza usikanyage site kusimamia hata wiki. Yaani hata msumari ukibaki utakuta we sema neno nikuletee hao utanishukuru baadae.Hii ni mara yangu ya pili kipitia msoto wa ujenzi.Nilipitia hali hii kwa mara kwanza mwaka 2014.
Ni kero sana. Ni kero sana kufanya kazi na mafundi ambao hawako smart. Huyu atakuharibia kazi, huyu atakuibia materials, yule ni muongo kachukua kazi halafu hafanyi. Yaaani kuna kila aina ya kero.
Nimechoka sana. Sasa naelewa kwa nini baadhi ya watu huamua kununua nyumba tu na kuhamia.
Mafundi wengi wanahitaji usimamizi, ukiondoka tu, umepigwa. Wengine huo muda hatuna.
Mimi kuna fundi mmoja mwaka 2014 , tukiwa site nilitaka nimgonge na gari. Alivuruga kazi akanitia hasara kubwa sana. Alinijibu majibu mabaya sana. Namshukuru Mungu aliniepusha na lile tukio, lingenilitea shida sana. Siku hizi najizuia kabisa na hasira.Enzi hizo naanza kujenga,
Nyumba yangu ya kwanza nilikazia mwenyewe fundi alitoroka,nyumba yangu ya pili nilipigana na mmoja licha ya kuwa alinizidi nguvu ila sikumlipa.
Ndio ni fundi lkn ni fundi mwizi na mjanja mjanja. Nawachukia sana mafundi type hizo.Mimi nadhani huyu ni fundi