Umejenga Tabora sehemu gani???Kuna Siri IPO Mkoani usiyoijua.Gharama za Ujenzi Mkoani zipo Chini.Mfano Mikoa mingi Wanajenga Tofali choma,Msingi wanatumia Mawe.Binafsi nilisahau Sana:Wakati 10m Kwa Dar iliishia kwene Msingi,Kwa Mkoani Tabora Milioni 10 Boma lilikamilika.Aidha angalia gharama za Kokoto,zile nyeusi Mkoani unapata Kwa 180K Kwa trip ya 3.5T wakati Kwa Dar zikitoka Chalinze huzigusi Kwa bei.
Hiyo ni sehemu ya Siri.Nimejenga Frame za biashara Mkoani Kwa 25m wakati jengo hili Kwa Dar ingegharimu around 40m ukijumulisha na Ardhi.
duuh vijijini tena[emoji27]Sio kweli kuna vijiji vina mizunguko mikubwa ya pesa kuzidi mitaa mingi ya pesa kama unabisha njoo babati nikutembeze vijijini uone
Jamaa yangu ana nyumba za kupanga (apartments) na fremu za biashara Makete (vijijini sio makao makuu ya Wilaya). Nyumba (chumba kimoja self, sebule na jiko) amepangisha kwa sh. 80,000 kwa mwezi. Fremu za biashara kapangisha kwa sh. 50,000 kwa fremu moja.Maza ana nyumba songea,mtaa wa Msamala..hyo nyumba ina nyumba vinne,kimoja ni master. Tiles kote, gypsum pamoja na madirisha ya aluminium..
Kodi ni 80k kwa mwezi. Wateja hakuna kabisa
20 tulikuachia ya kutunza pair yakoNiliwahi kulala Lodge kali pale Mbinga nikalipa 10k ambapo kwa Dar au arusha ningelipa 30k
Mimi nataka nijenge ghorofa mkoani. Zinalipa sana aisee! Wafanyabiashara wa kijijini wanapenda biashara zao ziwe ghorofaniKuna Siri IPO Mkoani usiyoijua.Gharama za Ujenzi Mkoani zipo Chini.Mfano Mikoa mingi Wanajenga Tofali choma,Msingi wanatumia Mawe.Binafsi nilisahau Sana:Wakati 10m Kwa Dar iliishia kwene Msingi,Kwa Mkoani Tabora Milioni 10 Boma lilikamilika.Aidha angalia gharama za Kokoto,zile nyeusi Mkoani unapata Kwa 180K Kwa trip ya 3.5T wakati Kwa Dar zikitoka Chalinze huzigusi Kwa bei.
Hiyo ni sehemu ya Siri.Nimejenga Frame za biashara Mkoani Kwa 25m wakati jengo hili Kwa Dar ingegharimu around 40m ukijumulisha na Ardhi.