Kujeni mnipe kampani

Hata mimi nashangaa maana sio kwa shobo hizi leo. Hadi nikahisi kama sio kuna kitu umepata basi kuna kitu unatafuta
Hehehe wakat mwingine uwe unasoma na kilicho ndani ya Shoboo , sio mpaka nimwage mtama [emoji6].. Ivi hujiulizi hizi shobo za leo vipi?? .
Ndio kuna kitu nakitafuta, nakitu chenyewe ni mimi kutafuta ukubalio wako ili niwe kama mtumwa, nitakayekua tayar unitumikishe mahali popote,muda wowote utakao.

Iwe ni kukuweka sawa kama hivi ..wewe tuuuu.
 
Mimi na wewe hatujazoea kushobokeana bwana, hicho unachotaka (sikijui maana sijaweza kusoma katikati ya mistari) hapa kwangu hakipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…