Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Unajuwa nini?Sijawahi kucheza karata sijui hata zinachezwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuwa nini?Sijawahi kucheza karata sijui hata zinachezwaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi wewe
Nilisumbuka kisaikolojia yaani nimezubaa vipi hadi unakuja kuomba msaada wa kampani jukwaani. Nimeteseka kwa kweliKwa hiyo hapo ulisumbuka vipi wakati jambo nililoomba kusaidiwa hata hukunisaidia
Ahsante mrembo, nawashangaa wanaobeza mafua...mimi binafsi huwa yananitesa sana maana yanaambatana na maumivu ya kichwa pamoja na homa kali.,..pua zinaziba yaani kero tupu. Dawa huwa mara nyingi situmii huwa nayaacha yapone yenyewePole sana, mafua huwa ni "ugonjwa na nusu".
Yakiambatana na koo kuwasha, masikio, macho halafu pua ziwe zimeziba duu.
Pole sana hope unaendelea vizuri na dawa unatumia.
Sio kosa lako,ni langu ndio maana nimeumia Sana,yaani kuna mahali nimekwamaSasa hapa linakuwaje kosa langu
For insurance purposes!! Kwa case kama hii nilitakiwa niwe wa kwanza kukupa kampani lkn kwakua hii ni mitandao nahii ndio JF kunakulog in na out, nmechelewaa.Namba nifanyie nini sasa
Teh leo naona umepata balimiFor insurance purposes!! Kwa case kama hii nilitakiwa niwe wa kwanza kukupa kampani lkn kwakua hii ni mitandao nahii ndio JF kunakulog in na out, nmechelewaa.
Sasa sitaki niwe wa mwisho tena , napenda case km hii iwe resolved kwanzaa nje ya JF.
Hili litafanikiwa ikiwa tu utanitext.." oyaaa nko ovyo, nipe kampani"
Plz plz plz, unitext kwenye hiyo namba.
Nilishatoa onyo kali kwa fisi maji wote wanaomendea keki yangu ya roho 😂😂😂
Ahahahahahaaa ENDELEA kitajaKu - log in Jf
Khantwe khantweee , sijawahi hata gusa chupa ya kilevi mama [emoji40]Teh leo naona umepata balimi
Hata mimi nashangaa maana sio kwa shobo hizi leo. Hadi nikahisi kama sio kuna kitu umepata basi kuna kitu unatafutaKhantwe khantweee , sijawahi hata gusa chupa ya kilevi mama [emoji40]
Ninachosema namaanisha, usiseme kua kaPM kangu hujakaona uko [emoji23]
Sema leo leo nmeamua kukushobokea [emoji23][emoji23][emoji23]mzima mzima
Shemela Kuna komenti hapo juu imeniharibia jioni yanguKusoma na kuandika