Wanakuona mchawi dada!lkn wakija kwenye uhalisia watajionea😅
Ndio kitu Cha kushangaza zaidiWanaotoa ushauri hata hawajawahi fanya hizo biashara🙄
Very simple [emoji23]Na kilimo cha matikiti maji online[emoji1787]
Mtaji ni nini ?Sijakuelewa bado mkuu
Shusha vitu mkuu...Mtaji ni nini ?
Mtaji unaweza ukawa kitu chochote ambacho kina-facilitate wewe kutoa huduma au bidhaa fulani ambayo mwisho wa siku itakunufaisha katika kupata unachotaka....Shusha vitu mkuu...
Sawasawa nimekuelewa vyema mkuu..Mtaji unaweza ukawa kitu chochote ambacho kina-facilitate wewe kutoa huduma au bidhaa fulani ambayo mwisho wa siku itakunufaisha katika kupata unachotaka....
Wewe ukiwa mshona viatu (mtaji ni ujuzi wako) wewe ukiwa mwaminifu (mtaji ni uaminifu wako unaweza ukapewa mali kauli ili uuze); wewe ukiwa una ujuzi fulani ukaajiriwa na kulipwa pesa (mtaji ni ujuzi wako) wewe ukiamka asubuhi na kuweka bundle kwenye simu na kufanya vijikazi ambavyo vinalipa peanuts (hapo zaidi ya mtaji wa bundle ingawa unaweza kwenda sehemu kuna wi-fi bure) mtaji hapo utakuwa muda wako (sababu huo muda huenda wengine wanatumia kufanya mambo makubwa zaidi)
Wewe ukiwa unakubaliwa na vimama vizee vizee kutona na muonekano wako na wanapenda company yako na ukawa escort unawasindikiza sehemu au ukawa GIGOLO, mtaji ni muonekano wako...
Hakuna kazi rahisi; Hivyo vikazi mitandaoni kama wengi wanafanya basi demand huenda ni kubwa kuliko supply kwahio kupelekea mtu kulipwa ujira mdogo kulinganisha na mtaji wake wa muda....Sawasawa nimekuelewa vyema mkuu..
Sasa mtu tayari ana bando na vitendea kazi vingine wewe kama wewe unamsaidiaje maaana maneno yamekua mengi huku mitandaoni wakati uhalisia haupo hivo mtaani..
Kisha baadae mtaji ukikua ununue mashine ya kuchakata plastics[emoji1787][emoji1787][emoji1787]LABDA uanze nakuokota makopo
Watu humu wanaongea ongea tuuKisha baadae mtaji ukikua ununue mashine ya kuchakata plastics[emoji1787][emoji1787][emoji1787]