Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Bila Pesa ya mtaji hutoboi anza na nauli labda utumie TZ 11Yes possible
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila Pesa ya mtaji hutoboi anza na nauli labda utumie TZ 11Yes possible
Nielekeze mkuu mdogo mdogo ili nianze na fursa hizo mana bando,smart na bando lipo la kutosha sasa nipe info zaidi hata leo nianze hizo kaziKuna kazi huwa zinatangazwa kupitia LinkedIn na baadhi ya application za kutumia computer na inalipwa mwisho wa kazi. Changamoto Kuna wengine wanataka ulipie tenda Kama kishika tenda Ili wakuamini na Kama huna inakukata.
Yaani sikupingi hata kidogo na tupo pamoja kabisa 100%New motivation speaker in Town?
Kaitafute Upwork fungua account huko na uanze kuhangaika na madili. Mimi nilifanya nikaishia njiani ingawa wengi wanalipwa.Nielekeze mkuu mdogo mdogo ili nianze na fursa hizo mana bando,smart na bando lipo la kutosha sasa nipe info zaidi hata leo nianze hizo kazi
Wengi wapi hao mkuu...Kaitafute Upwork fungua account huko na uanze kuhangaika na madili. Mimi nilifanya nikaishia njiani ingawa wengi wanalipwa.
Waamshe kabisa mkuuAlooooooooooo.
naona watu mkiota ndoto za mchana.
AFu ukute anaandika haya akiwa anakaa kwa mama.Waamshe kabisa mkuu
Ndio ivo na ndicho kilichonikimbiza. Kwasasa kwakutumia bando nahangaika na wanaofanya application za vyuo na bodi ya mikopo. Natumia makundi ya WhatsApp kujitangaza na napata mmoja wawili maisha yanaenda. Lakini hizo za nje na zile za kuuza bidhaa Kisha nipate kamisheni nilichemkaWengi wapi hao mkuu...
Kuna vigezo kule tena ni very tafu..
Vinahitaji mtu mzoefu ana experience ya miaka hata miwili...
Vigezo vingi sana
Muda ni mtaji toshaa...!! WEKA SIMU NA BANDOOO.. uwingaa unalipaaaHayo yote uliyoyataja hapo ni Mitaji; Mtaji sio lazima uwe Finance..
Sasa hapo umenena kwenye """kwakutumia bando nahangaika na wanaofanya application za vyuo na bodi ya mikopo""""Ndio ivo na ndicho kilichonikimbiza. Kwasasa . Natumia makundi ya WhatsApp kujitangaza na napata mmoja wawili maisha yanaenda. Lakini hizo za nje na zile za kuuza bidhaa Kisha nipate kamisheni nilichemka
Uwe chele....AFu ukute anaandika haya akiwa anakaa kwa mama.
kujiajiri bila mtaji inawezekana 😀 😀
labda uwe bwabwa
Nipe mchongo huo bando lipo hapa la kutoshaMuda ni mtaji toshaa...!! WEKA SIMU NA BANDOOO.. uwingaa unalipaaa
Sijakuelewa bado mkuuHayo yote uliyoyataja hapo ni Mitaji; Mtaji sio lazima uwe Finance..
Biashara za kwenye makaratasi[emoji23]Ukiwaambia ukweli wanakuona kama unawakatisha tamaa[emoji2][emoji2]
Wanakuona mchawi dada!lkn wakija kwenye uhalisia watajionea😅Ukiwaambia ukweli wanakuona kama unawakatisha tamaa😃😃
Biashara za kwenye makaratasi[emoji23]