Kujibu Mapigo: Mkutano wa Halima Mdee na Wanahabari Wayeyuka kama theluji mbele ya moto

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali, Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama.

Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia CCM kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya CCM huko Dodoma, pale alipowakaribisha ndani ya CCM.

Usaliti ni laana
 

Thus umefanyika wa Bashiru badala ya wa Mdee. Mdee hawezi kuwa maarufu nje ya CHADEMA.
 
Halima na baadhi yao hata kubali kujiunga Ccm. Bali watarudi kuomba radhi..
 
Waende salama. Wanaweza kupata uteuzi kutuliza njaa.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 theluji yayeyuka.
Kamati ya fitina Slowslow anaenda kuwa waziri huko, ndiyo habari ijayo!!

Everyday is Saturday................................😎
 
Hahahaha uliza sababu ya kughailisha basi mbona unaongea uongo Sana?
 
HIVI HUKO UFIPANI BADO MUNAWEWESEKA MUKIWAOTA HAWA RAIA WASIO NA CHAMA?? MUMEPAYUKA PAYUKA WAKATI WA KUWATIMUA NA MATUSI JUUUU, NAO WAMEAMUA KUJIKALIA KIMYAA, KWA NINI BADO MUNAWAOTA WAMAMA WA WATU? MUMEWATIMUA KIBABE BILA HATA YA KUWASIKILIZA, SASA MNATAFUTA NINI KWAO??
 
Makada wa CHADEMA usaliti ndio jadi yenu. Hamuaminiki kabisa! We ulisikia wapi hata makatibu wakuu wa chama kujivua uwanachama na kujiunga na kingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…