BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Jf na ID fake, usikute mleta uzi ni mmoja wa wale 19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sky Eclat wa chadema nime kumiss uko wapi? sema neno au na wewe ni miongoni mwa covid -19Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Hang on, wakihamia ccm watabakiaje bungeni kwa viti maalum? si ccm wameshakamilisha viti vyao maalum? Pia ikiwa watahamia ccm si ina maana bunge halitakuwa na wabunge wa viti maalum kutoka kambi ya upinzani ya chadema? Hili suali naona linazidi kutatanisha na huenda likaenda hadi mahakamani, tusubirini tu!Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Wanaoniuma zaidi ni watatu tuHii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Da deki.
Ukiona wanakaribishwa ccm ndiyo kusema ubunge wao umeyeyuka rasmi na wamekata tamaa.
Nendeni ccm mkapewe udc na ukatibu tawala ambapo jamaa ana uwezo wa kuwafukuza kazi aliyowapa hata ya usiku wa manane
Wanaoniuma zaidi ni watatu tu
1:Ester Matiku
2: Ester Bulaya
3:Halima Mdee
Hawa watatu wananiuma kwelikweli,yaani utafikiri walikuwa wake zangu halafu wamenisaliti mume wao,Lakini maisha ni popote nawatakia Kila lenye heri.
Hahahaaaa....... Kesho ndio mtajua hamjui!Sawa tumekusikia afisa habari wa COVID-19!
Kama chadema hawawataki wahamie chama chochote ili mradi wanawatumikia watanzania
Kwa msingi huu ubunge hawana tena ama inakuwaje?Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
"Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu "Wanaoniuma zaidi ni watatu tu
1:Ester Matiku
2: Ester Bulaya
3:Halima Mdee
Hawa watatu wananiuma kwelikweli,yaani utafikiri walikuwa wake zangu halafu wamenisaliti mume wao,Lakini maisha ni popote nawatakia Kila lenye heri.
Inakuuma wwe wao mgodi umetema,thus waligoma kuhojiwaWanaoniuma zaidi ni watatu tu
1:Ester Matiku
2: Ester Bulaya
3:Halima Mdee
Hawa watatu wananiuma kwelikweli,yaani utafikiri walikuwa wake zangu halafu wamenisaliti mume wao,Lakini maisha ni popote nawatakia Kila lenye heri.
Wahamie tu ccm, sasa sijui kama bado watakua iligible kupata huo ubunge wa viti maalumuKama chadema hawawataki wahamie chama chochote ili mradi wanawatumikia watanzania
Na ni MPUMBAVU pekee anayeamini katika kuviua vyama pinzani ni kuleta maendeleoKwani hao The 19 Dadaz wakihamia CCM Kwetu kuna tatizo au watapatwa na mkasa wowote? Ni Mpumbavu tu pekee ambaye ataichukia CCM hii.
Una uhakika mkuu? So, kila taarifa inyozagaa huwa ni ya ukweli?Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Wangesikilizwa WAP sasa na wao walikaidi kuhudhuria kikao cha mahojiano.HIVI HUKO UFIPANI BADO MUNAWEWESEKA MUKIWAOTA HAWA RAIA WASIO NA CHAMA?? MUMEPAYUKA PAYUKA WAKATI WA KUWATIMUA NA MATUSI JUUUU, NAO WAMEAMUA KUJIKALIA KIMYAA, KWA NINI BADO MUNAWAOTA WAMAMA WA WATU? MUMEWATIMUA KIBABE BILA HATA YA KUWASIKILIZA, SASA MNATAFUTA NINI KWAO??
Vyovyote itakavyokuwa, kwa hizi sarakasi zenu na kina COVID-19 rafiki zetu wazungu wanawaangalia kwa dharaaaau.Hahahaaaa....... Kesho ndio mtajua hamjui!
walisema leo , na kesho siyo leoUna uhakika mkuu? So, kila taarifa inyozagaa huwa ni ya ukweli?
Wazungu na pua zao ndefu hawana jeuri hiyo!Vyovyote itakavyokuwa, kwa hizi sarakasi zenu na kina COVID-19 rafiki zetu wazungu wanawaangalia kwa dharaaaau.
Watakapokata miamala ya misaada na mikopo, wakaziba mifumo yenu ya exports/imports na kukata supplies za spea za bombadia ndiposa anayejua atajulikana na asiyejua atajulikana!
HIVI HUKO UFIPANI BADO MUNAWEWESEKA MUKIWAOTA HAWA RAIA WASIO NA CHAMA?? MUMEPAYUKA PAYUKA WAKATI WA KUWATIMUA NA MATUSI JUUUU, NAO WAMEAMUA KUJIKALIA KIMYAA, KWA NINI BADO MUNAWAOTA WAMAMA WA WATU? MUMEWATIMUA KIBABE BILA HATA YA KUWASIKILIZA, SASA MNATAFUTA NINI KWAO??