Kujibu Mapigo: Mkutano wa Halima Mdee na Wanahabari Wayeyuka kama theluji mbele ya moto

Kujibu Mapigo: Mkutano wa Halima Mdee na Wanahabari Wayeyuka kama theluji mbele ya moto

Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .

Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .

Usaliti ni laana
Baada ya kuona hayo bashiru katumia huo mwanya kuwaalika Ccm
 
Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .

Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .

Usaliti ni laana
Tunajua kabisa watawapa reward, hilo linajulikana.....Wawape na ukuu wa Mikoa na uwaziri.......................... lkn CDM itaheshimu misingi yake.
 
Wazungu na pua zao ndefu hawana jeuri hiyo!
Hahahaaaa... mwenyekiti wa MATAGA mwenyewe anawaheshimu na kuwaogopa sana hadi alifikia kuwaita "wanaume wa shoka", sembuse wewe comrade?
Anawaogopa mnoo ndiyo maana ya hizi sarakasi za kulazimisha Chadema iteue wabunge wa viti maalumu - akaishia kuwateua yeye mwenyewe hawa COVID-19 - that's why nasema wanamwangalia kwa dharaaau sana kwa sababu wanajua anachokitafuta kwao ambacho kiukweli hawatampa!
 
Makada wa chadema usaliti ndo jadai yenu. Hamuaminiki kabisa! We ulisikia wapi hata makatibu wa kuu wa chama kujivua uwanachama na kujiunga na kingine!
Ni uhuru wa mtu kuhama ila kwenu wanaogopa yaliyomkuta Mzee Mangula.
 
Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .

Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .

Usaliti ni laana
Waende huko kwani tayari baadhi ya makada wa CCM wamejimilikisha covid 19 na kuwa michepuko yao rasmi hata Paskal mayala tayari anaishi nyumbani kwa mdee ,kwa mjibu Le mutuz msiri mkubwa wa CCM
 
Hapo Mimi namhurumia Nusrat Hanje, wengine hao wameshiriki kupiga deal. Hanje maskini katolewa jela kiaina na kujikuta anatakiwa aape . Na kwake limefanyika kuhalalisha uhalifu

Hazina ya taifa inatumika visivyo
Hanje chadema wanajua alichezeshwa sinema na mdee pasipo kujua ndiyo maana chadema hawana shida nae wala kumuongelea sana, Tatizo kubwa ni Mdee na Bulaya kwani ndiyo wasuka michongo ya uuzaji na ununuzi wa covid 19 kienyeji kwa njia haramu za kishetani
 
Kwani hao The 19 Dadaz wakihamia CCM Kwetu kuna tatizo au watapatwa na mkasa wowote? Ni Mpumbavu tu pekee ambaye ataichukia CCM hii.
CCM ipi unaisemea isiyo na wapumbavu? Kwani kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu ni ujanja au upumbavu? Kuwanunua covid 19 kienyeji kwa njia haramu za kishetani ni upumbavu au ujanja? Kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani ni upumbavu au ujanja?
 
Hang on, wakihamia ccm watabakiaje bungeni kwa viti maalum? si ccm wameshakamilisha viti vyao maalum? Pia ikiwa watahamia ccm si ina maana bunge halitakuwa na wabunge wa viti maalum kutoka kambi ya upinzani ya chadema? Hili suali naona linazidi kutatanisha na huenda likaenda hadi mahakamani, tusubirini tu!
Hao covid 19 wataitumia mahakamaccm mali binafsi ya CCM kuwa wabunge wa mahakama mpaka 2025 kitu ambacho kisingewezekana kwenye mahakama huru na haki
 
Hanje chadema wanajua alichezeshwa sinema na mdee pasipo kujua ndiyo maana chadema hawana shida nae wala kumuongelea sana, Tatizo kubwa ni Mdee na Bulaya kwani ndiyo wasuka michongo ya uuzaji na ununuzi wa covid 19 kienyeji kwa njia haramu za kishetani
Kina Esther hao wawili wamewaacha wananchi wao waliokuwa pamoja kwenye campaign wakiwa ndani na kesi za kubumba, wengine wameumizwa mwenzao wa Serengeti amepigwa na mwenyekiti wa chama (w) wameumizwa , wengine wamelemazwa . Kumbe wao wanasuka deal la kuwawahi wenzao ktk viti maalumu ?!. INAUMA SANA
 
Tunajua kabisa watawapa reward, hilo linajulikana.....Wawape na ukuu wa Mikoa na uwaziri.......................... lkn CDM itaheshimu misingi yake.
Kuwafuza chadema imeiokoa chama mno kuliko wangebakia chadema ingefariki ghafra na kuwa kama UDP DP TLP NCCR na CUF ya Lipumba
 
HIVI HUKO UFIPANI BADO MUNAWEWESEKA MUKIWAOTA HAWA RAIA WASIO NA CHAMA?? MUMEPAYUKA PAYUKA WAKATI WA KUWATIMUA NA MATUSI JUUUU, NAO WAMEAMUA KUJIKALIA KIMYAA, KWA NINI BADO MUNAWAOTA WAMAMA WA WATU? MUMEWATIMUA KIBABE BILA HATA YA KUWASIKILIZA, SASA MNATAFUTA NINI KWAO??
Covid 19 ni hatari kwa afya ya binadamu
Chukueni hao viruses

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom