Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
Wewe subiri kesho usikie muziki wa Halima James Mdee!
Una maanisha Mzee Mdee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe subiri kesho usikie muziki wa Halima James Mdee!
Waache warudi nyumbani ccm , waache hiyo saccos ya wapiga dili, angalia walivyouzwa na viongozi wao mchana kweupe.Halima na baadhi yao hata kubali kujiunga Ccm. Bali wata rudi kuomba radhi..
Msaliti hapo ni mbowe na mnyikaWatanzania wa wapi wanataka kuhudumiwa na wasaliti?
Madelila wa Tanzania wamechemka vibaya sana .Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Mbona walpokonya kura? Wamtake saa hii kama si unafiki ni nini?Kama chadema hawawataki wahamie chama chochote ili mradi wanawatumikia watanzania
Wakihamia CCM viti Maalumu si vinayeyuka? Oh sorry Awamu ya 5 hakuna kufuata sheria nimekumbuka hata Mwambe alihama chadema na kujiunga ccm lakini aliendelea kuwa mbunge kwahiyo hata covid19 wakihamia CCM watendelea kuwa wabunge wa viti maalumu kutoka CHADEMA.Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Mbona walpokonya kura? Wamtake saa hii kama si unafiki ni nini?Kama chadema hawawataki wahamie chama chochote ili mradi wanawatumikia watanzania
Halima anajitambua sana. Hata na yeye anashangaa hilo jini lilomtia nksi. Anajua ametoka mbali na chadema, amekuwa mbunge muda mrefu na juu ya hapo mwenyekiti BAWACHA. Sasa atamlalamikia nani kama sio majini mnaoleta uchochezi.Wewe subiri kesho usikie muziki wa Halima James Mdee!
Wataomba msamaha kama walikosea na huo ndio ustaarabuHalima anajitambua sana. Hata na yeye anashangaa hilo jini lilomtia nksi. Anajua ametoka mbali na chadema, amekuwa mbunge muda mrefu na juu ya hapo mwenyekiti BAWACHA. Sasa atamlalamikia nani kama sio majini mnaoleta uchochezi.
Mimi ningemwomba aombe msamaha na heshima yake itapaa.
Kina Ester ni watu makini very pottential waombe msamaha tujenge nchi.
Wanaobomoa upinzani na wanaosjabikoa ni waovu yawapasa kutubi
Sioni tatizo, mradi watu kama 'Husna' wa Chato si mmoja wa hao waliorubuniwa.Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Yuda Alijinyonga kwa ajili ya USALITIHii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Polepole huenda Akaapishiwa BAHARINI[emoji1787]Watazungumza kesho baada ya Polepole kuapishwa!
Duh! Bado mnao tu?! Wengine tukajuwa baada ya kutupwa chamani basi mtaachana nawo?!Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Ni kweli kabisa mziki wake wa kumsaga bulaya sio wa kitotoWewe subiri kesho usikie muziki wa Halima James Mdee!
Wajinasue na nini wakati haki zote za kibunge wanazo.Sasa hivi wako kwenye payroll ya bunge na mwezi huu walamba mshahara wa siku 10 za mwezi November, pesa ya kujikimu baada ya kuapishwa wamepewa, mkopo wa magari tayari wamepewa, bima ya afya wanayo tayari.Sasa waitishe press conference ya nini.Nadhani akiapishwa polepole na Riziki Lulida wote wataanza semina kama walivyofanyiwa wabunge wengine. KWA UJUMLA ISSUE YAO IMEKWISHA NI CHADEMA NDIYO WANAO MPIRA WAKIPIGA FYONGO NI JUU YAO.HALIMAAkila sehemu wamebanwa, hapo wako kimya wanafanya mipango jinsi ya kujinasua
Mkuu usiuwe nzi kwa nyundo. Wote ni watanzania wenzetu hata mlevi wa konyagi ni Mtanzania mwenzetu tumvumilie tu. Alikuwepo Sara Kuku kutoka Wingereza na kiherehere chake na mbwembwe zake lakini wapi, sikio la kufa .... ......Duh! Bado mnao tu?! Wengine tukajuwa baada ya kutupwa chamani basi mtaachana nawo?!
Hii issue hata mseme nini imewauma sana sana, poleni, kumbukeni wahenga walivyosema tu, "Politics is a dirty game, and if you can't play the game, you won't loose"...
Kama nivirus mbona bado munaweweseka mukiwaota?Covid 19 ni hatari kwa afya ya binadamu
Chukueni hao viruses
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Thubutu, kwa moto ule uliowashwa pale ufipani na viongozi wakubwa hao wamama wawatu wangefanyiwa kitu mbaya saanaa. Maana uwanja wote ulijaaa waaandamanaji wafuasi wa chama chenuu huku wakishikilia mabango ya kuwatukanaaa. Hata kama nimtuyeyote asingeweza kujitupa kwenye ule moto uliowashwa na viongozi wakuu wa chama. Kwahekima kubwa yawamama wale waliandika ujumbe kuomba wahudhurie kikao kwa siku walio taja na sababu wakatoa, lakini kulingana na jazba za viongozi hawakuwasikia ombilao. Ingekua hawakuandika ujumbe wowote, ndo tungesema walikaidiii. Walitambua kutatua migogoro wakati wote mnahasira mwishowe nikugombana na kusababisha madhara makubwaaa.Wangesikilizwa WAP sasa na wao walikaidi kuhudhuria kikao cha mahojiano.
Acheni kuwatetea wasaliti bana.