Kujibu Mapigo: Mkutano wa Halima Mdee na Wanahabari Wayeyuka kama theluji mbele ya moto

Kujibu Mapigo: Mkutano wa Halima Mdee na Wanahabari Wayeyuka kama theluji mbele ya moto

Mkuu usiuwe nzi kwa nyundo. Wote ni watanzania wenzetu hata mlevi wa konyagi ni Mtanzania mwenzetu tumvumilie tu. Alikuwepo Sara Kuku kutoka Wingereza na kiherehere chake na mbwembwe zake lakini wapi, sikio la kufa .... ......
Halisikii kifo...Mbavu zangu zauma, hahahaha...na kile kiherehere kilimfanya bi KUKU aondoke kinyemela tu, tulimsoma twitter, hata kabla ya uchunguzi wa kina Bi KUKU akapayuka kama micharuko yetu, wanaume tukasema huyu bibie vipi?! Ila walio na majukumu wakauliza kulikoni? Basi yakafanyika maaumizi magumu tu arudi kwao kupangiwa majukumu mengine...
Ni shida kweli, kwa kweli ukinzani tunawavumilia kwa mengi tu, sijuwi mzee M7 angewafanya nini walahi...🤔
 
Kama chadema hawawataki wahamie chama chochote ili mradi wanawatumikia watanzania
Chama kilichopata sifa za kupeleka wabunge wa viti maalumu mbali na CCM, ni CHADEMA tu. Chama kingine chochote watakachohamia watakua ni wanachama tu lakini haitakua na uhusiano wa viti maalumu ambavyo wao ndiyo njaa yao.
 
Hujiulizi kwanini halmashauri kuu ya CCM imeacha ajenda zake na kuanza kuwajadili kina Mdee.
Kwani na nyiekuendelea kuwajadili hao muliowatupilia mbali, kwani nanyie mumekua hao ccm na halmashauri yao kuuu??? Ni ujinga mkubwa kuwaza ukimtema demu au men na ukidhani hatoweza kuolewaaa. Waaacheni wamama hao watafute namna ya kuyajenga maisha yao. Maana nyie mumewatupilia mbali kwa kiki za kuonesha jazba na machozii. Waaacheni wamama wawatu wa relax
 
Halima na baadhi yao hata kubali kujiunga Ccm. Bali wata rudi kuomba radhi..
Wakirudi kuomba radhi wanatakiwa kuachana na "ubunge" wa kubumba maisha yaendelee kama mwanzo. CCM wamefanikiwa kuwa wenyewe Bungeni bila kuchanganyiwa, waendelee kutuletea maendeleo bila hawa "wapinga maendeleo"
 
Ila hoja nyingine bwana😂, kwahiyo kutowatambua kwako hapa jukwaani,kuna wapunguzia nini wao huko waliko?Huoni kama Ni swala la kupoteza muda wako tu.
Hata wewe unapoteza mda kuwatetea covid 19 ambao tayari wameingiwa na pepo wa ushetani kudidimiza demokrasia
 
Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .

Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .

Usaliti ni laana
Nasikia hata barua hamjawapa ulitaka wajibu nini sasa! Their advisors are so smart dada!!
 
Hata wewe unapoteza mda kuwatetea covid 19 ambao tayari wameingiwa na pepo wa ushetani kudidimiza demokrasia
Usininukuu vibaya mkuu,hakuna sehemu yoyote niliyowatetea.Nimejaribu kufikiri,na sioni namna yoyote ambayo wewe unanufaika juu ya wao kufukuzwa.Ndomaana nauliza.
 
Hata wewe unapoteza mda kuwatetea covid 19 ambao tayari wameingiwa na pepo wa ushetani kudidimiza demokrasia
Ila CCM kweli ni Chama Dume yaani wanaichezesha mchakamchaka Saccos watakavyo!! Sasa Saccos wanahangaika na Bawacha wakati Chama Dume wanaendelea na mikakati ya ushindi ya 2025!!
 
Kwani na nyiekuendelea kuwajadili hao muliowatupilia mbali, kwani nanyie mumekua hao ccm na halmashauri yao kuuu??? Ni ujinga mkubwa kuwaza ukimtema demu au men na ukidhani hatoweza kuolewaaa. Waaacheni wamama hao watafute namna ya kuyajenga maisha yao. Maana nyie mumewatupilia mbali kwa kiki za kuonesha jazba na machozii. Waaacheni wamama wawatu wa relax
CCM ndiyo wapo busy kuanzisha mada za kutetea ushetani wao sisi kazi yetu siyo kuwajadili ni kuwaonyesha CCM kuwa wanatetea covid 19 kwa njia haramu za kishetani
 
Usininukuu vibaya mkuu,hakuna sehemu yoyote niliyowatetea.Nimejaribu kufikiri,na sioni namna yoyote ambayo wewe unanufaika juu ya wao kufukuzwa.Ndomaana nauliza.
Ukija kwenye kunufaika wewe unanufaika nini juu ya haya yote yanayoendelea sasa? humu wengine hatunufaiki na chochote zaidi ya kutenga mda wetu kusema CCM iache ushetani wake na tutaacha kusema siku CCM wakiacha mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa Taifa
 
Faru John ni basha wako anayedhani upinzani ni uhasama # Magufuli.
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila magerezaccm bila Uhamiajiccm ni weupe sana
 
Back
Top Bottom