Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Mlikua namaaana gani kuwaitia wanawake wawatu kwenye maficho menginee inje na maeneo ya ofisi ya chama chao?? Tena mnawapigia simu na huku mlisha wapa barua zakufika makao makuu ya chama wanawake wawatuuu?? Bilashaka Mungu huenda aliwaepusha mengi wamama haoMkuu haya ni mawazo yako,katika vyama vya kisiasa hapa nchini ni chama kimoja pekee,chadema kina wafuasi watiifu kuliko vyama vyote nchi hii.
Hata viongozi wao wakiwekwa ndani kwa uonevu huwa wanakaa kwa kutulia.
Leo hii uniambie kina Mdee wangeuwawa kama wangeenda kuhojiwa si kweli haya ni mawazo yako binafsi.hawa covid 19 wameingizwa chaka tu na bashiru&slowslow
Haya ni mawazo yako binafsi.Mlikua namaaana gani kuwaitia wanawake wawatu kwenye maficho menginee inje na maeneo ya ofisi ya chama chao?? Tena mnawapigia simu na huku mlisha wapa barua zakufika makao makuu ya chama wanawake wawatuuu?? Bilashaka Mungu huenda aliwaepusha mengi wamama hao
Huoni walengwa walishitukia janja janja yenuu wakawakacha? Halafu unabwabwaja eti nimawazo yangu binafsi. Haowamama wamshukuru Mungu kawapiganiaHaya ni mawazo yako binafsi.
CCM siyo Dume kwani hutumia pesa za walipa kodi kudhoofisha chadema na siyo saccos kwani ingekuwa ni saccos msingekuwa mnahangaika kuwabambikia kesi kuwapiga risasi na sasa mnatumia mabilioni kuwanunua covid 19 kwa njia haramu za kishetaniIla CCM kweli ni Chama Dume yaani wanaichezesha mchakamchaka Saccos watakavyo!! Sasa Saccos wanahangaika na Bawacha wakati Chama Dume wanaendelea na mikakati ya ushindi ya 2025!!
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila magerezaccm bila Uhamiajiccm ni weupe sanaAkili za ccm hazijawahi kumshinda Mbowe hata siku moja, yaani Mbowe anawajua ccm kuliko ccm wanavyojijua, ni polisi na tiss ndiyo wanaifanya ccm ipumue mbele ya Mbowe ndo maana mara ccm wakifanya michezo yao dhidi ya Mbowe huishia patupu.
Aliyewanunua covid 19 ni CCM ndiyo maana wanaitwa wanandungaiMachadema yanaweweseka yanajua chama Cha siasa ni CCM tuuu, kwani wakiamua kwenda chauma watakuwa hawajahama chadema?
Huko CCM walipowaitia wakati wanawanunua ilikuwa uwanja wa Taifa? au waliwanunua live TBCCCM ikiwa live? Ujue mdee na Bulaya ni mtu na mmewe, acheni utetezi wa kijinga jinga unazidi kuidhalilisha CCMMlikua namaaana gani kuwaitia wanawake wawatu kwenye maficho menginee inje na maeneo ya ofisi ya chama chao?? Tena mnawapigia simu na huku mlisha wapa barua zakufika makao makuu ya chama wanawake wawatuuu?? Bilashaka Mungu huenda aliwaepusha mengi wamama hao
Kwa katiba ya Ndugai???Msekwa aliyetunga katiba 1977 anaona CCM wapuuzi tuHao ni wabunge halali wa Chadema hadi 2025!
Wapumbavu haoThubutu, kwa moto ule uliowashwa pale ufipani na viongozi wakubwa hao wamama wawatu wangefanyiwa kitu mbaya saanaa. Maana uwanja wote ulijaaa waaandamanaji wafuasi wa chama chenuu huku wakishikilia mabango ya kuwatukanaaa. Hata kama nimtuyeyote asingeweza kujitupa kwenye ule moto uliowashwa na viongozi wakuu wa chama. Kwahekima kubwa yawamama wale waliandika ujumbe kuomba wahudhurie kikao kwa siku walio taja na sababu wakatoa, lakini kulingana na jazba za viongozi hawakuwasikia ombilao. Ingekua hawakuandika ujumbe wowote, ndo tungesema walikaidiii. Walitambua kutatua migogoro wakati wote mnahasira mwishowe nikugombana na kusababisha madhara makubwaaa.
Kina "lijuhalikai, mtolewa, madirashida wako wapi??Hata wasipohamia CCM wale wanajielewa na wanaunga mkono juhudi za serikali ya CCM
CCM walizunguka nchi nzima kuutangazia uma kwamba wapinzani wanakwamisha maendeleo na ndiomaana wakakwapua majimbo yote hili bungeni wawe pekeyao chakushangaza leo hii tena wanawalazimisha wapinzani kwenda bungeni kwa nguvu amakweli hii dunia ina maajabu yake. Kuna nini KwanHii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Kelele za nini? Hata ungeongea taratibu ungeeleweka.HIVI HUKO UFIPANI BADO MUNAWEWESEKA MUKIWAOTA HAWA RAIA WASIO NA CHAMA?? MUMEPAYUKA PAYUKA WAKATI WA KUWATIMUA NA MATUSI JUUUU, NAO WAMEAMUA KUJIKALIA KIMYAA, KWA NINI BADO MUNAWAOTA WAMAMA WA WATU? MUMEWATIMUA KIBABE BILA HATA YA KUWASIKILIZA, SASA MNATAFUTA NINI KWAO??
Kwani wanakosa ganiiiWapumbavu hao
Nliwambia mapema hicho wanachoenda kufanya kitawaletea shidaa hawakusikia
Wakasema watapewa ulinzi
Acha wavune walicho panda
Covid 19 hao
Watu Wana hasira nao sanaaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
UsalitiKwani wanakosa ganiii
Kelele mnazo nyiee kuwafuatilia wamama wa watu ndooo nini saasaKelele za nini? Hata ungeongea taratibu ungeeleweka.
Amandla...
Wamesaliti niniUsaliti
Naona umejifunza "etiquette" ya mtandaoni.Kelele mnazo nyiee kuwafuatilia wamama wa watu ndooo nini saasa
Malaya wa kisiasa hao covid19.Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali , Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama .
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia ccm kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya ccm huko Dodoma , pale alipowakaribisha ndani ya ccm .
Usaliti ni laana
Mbona nyie mliwapata moyo viongozi wenu kua mtaandamana 'kwa amani' asubuhi yake hamkutoa pua zenu nje,Usaliti
Malaya wa kisiasa hao covid19.