Kujibu Mapigo: Mkutano wa Halima Mdee na Wanahabari Wayeyuka kama theluji mbele ya moto

Mlikua namaaana gani kuwaitia wanawake wawatu kwenye maficho menginee inje na maeneo ya ofisi ya chama chao?? Tena mnawapigia simu na huku mlisha wapa barua zakufika makao makuu ya chama wanawake wawatuuu?? Bilashaka Mungu huenda aliwaepusha mengi wamama hao
 
Haya ni mawazo yako binafsi.
 
Ila CCM kweli ni Chama Dume yaani wanaichezesha mchakamchaka Saccos watakavyo!! Sasa Saccos wanahangaika na Bawacha wakati Chama Dume wanaendelea na mikakati ya ushindi ya 2025!!
CCM siyo Dume kwani hutumia pesa za walipa kodi kudhoofisha chadema na siyo saccos kwani ingekuwa ni saccos msingekuwa mnahangaika kuwabambikia kesi kuwapiga risasi na sasa mnatumia mabilioni kuwanunua covid 19 kwa njia haramu za kishetani
 
Akili za ccm hazijawahi kumshinda Mbowe hata siku moja, yaani Mbowe anawajua ccm kuliko ccm wanavyojijua, ni polisi na tiss ndiyo wanaifanya ccm ipumue mbele ya Mbowe ndo maana mara ccm wakifanya michezo yao dhidi ya Mbowe huishia patupu.
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila magerezaccm bila Uhamiajiccm ni weupe sana
 
Huko CCM walipowaitia wakati wanawanunua ilikuwa uwanja wa Taifa? au waliwanunua live TBCCCM ikiwa live? Ujue mdee na Bulaya ni mtu na mmewe, acheni utetezi wa kijinga jinga unazidi kuidhalilisha CCM
 
Wapumbavu hao
Nliwambia mapema hicho wanachoenda kufanya kitawaletea shidaa hawakusikia
Wakasema watapewa ulinzi
Acha wavune walicho panda
Covid 19 hao
Watu Wana hasira nao sanaaa


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
CCM walizunguka nchi nzima kuutangazia uma kwamba wapinzani wanakwamisha maendeleo na ndiomaana wakakwapua majimbo yote hili bungeni wawe pekeyao chakushangaza leo hii tena wanawalazimisha wapinzani kwenda bungeni kwa nguvu amakweli hii dunia ina maajabu yake. Kuna nini Kwan
 
Kelele za nini? Hata ungeongea taratibu ungeeleweka.

Amandla...
 
Malaya wa kisiasa hao covid19.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…