Hahahahahahaa. Kwanini Sakayo atuombee mambo mabaya hivyo. Siko kwenye mood ya kuchambwa kabisa jamani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakiiii kajisemea sakayo siku ukianikwa tutakoma mm na mzigua hizo comments za watu wa humu
Wapi huko nije na mie.Karibu sana Shunie huku kuna Heineken za kumwaga, firigisi za kukaanga na mahindi ya kuchoma.
Wapi huko nije na mie.
Ndo wapi huko?Huku Mfaranyaki Songea Mzigua90 karibu sana.
Dyudyu tamu na hii kitu ina utamu wake lakini !!!
Asante sana mbona utanichoka nyama za kuchoma vipiii hamnaKaribu sana Shunie huku kuna Heineken za kumwaga, firigisi za kukaanga na mahindi ya kuchoma.
Hahaha alisema nikianikwa mm nitawapa sana shida wewe na yeye sababu ya maneno ya wananchiHahahahahahaa. Kwanini Sakayo atuombee mambo mabaya hivyo. Siko kwenye mood ya kuchambwa kabisa jamani.
Atatutetea tu. Hamna namna. Sema natumaini fan wangu hataniweka wazi.Hahaha alisema nikianikwa mm nitawapa sana shida wewe na yeye sababu ya maneno ya wananchi
Ndio maana akeUmejuaje? Au umeshawahi kujaribu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sakayo alizungumzia mm nikiwekwaAtatutetea tu. Hamna namna. Sema natumaini fan wangu hataniweka wazi.
Babu weee atakaewashwa kuweka aweke itakua ni genye zake zimemtuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sakayo alizungumzia mm nikiwekwa
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji84]Tambua akishakojoa mahali hapo panakuwa sensitive na hapahitaji tena kuguswa, hivyo unapaswa umpe muda kwanza then ndio uendelee kupasugua.
Hata ukiwekwa wazi Sana Sana utaongezewa followers tu, TBS na TFDA zimesimama sio kitotoo.Atatutetea tu. Hamna namna. Sema natumaini fan wangu hataniweka wazi.
Ukisema hivyo unawazidishia hasira fans wangu ujue. Halafu nyie ndo mtataka mi nichambwe kwa sifa za uongo mnazonipa.Hata ukiwekwa wazi Sana Sana utaongezewa followers tu, TBS na TFDA zimesimama sio kitotoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babu weee atakaewashwa kuweka aweke itakua ni genye zake zimemtuma
Heshima yako Ngoda[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji84]
Ebu weka pichaHata ukiwekwa wazi Sana Sana utaongezewa followers tu, TBS na TFDA zimesimama sio kitotoo.
Hamna uwongo wowote ule...Ukisema hivyo unawazidishia hasira fans wangu ujue. Halafu nyie ndo mtataka mi nichambwe kwa sifa za uongo mnazonipa.
Na evidence zaidi ama nenee [emoji23][emoji23][emoji23]Ebu weka picha