Nakataa kabisa hakuna kinachoshindikanaNi suala la muda tu
Vita ya kuacha nyeto hakuna amewahi kushinda
Nyeto unapumzika tuNakataa kabisa hakuna kinachoshindikana
Kuacha Inawezekana kabisa kabisa
Weeeh tuliaNakataa kabisa hakuna kinachoshindikana
Kuacha Inawezekana kabisa kabisa
Hahaha tusitishane bana.Ni suala la muda tu
Vita ya kuacha nyeto hakuna amewahi kushinda
Nyeto is the only addiction that you dont pay for. Yaani hulipii hela. Sa una
Nimeondoka tayari.Cc:dronedrake unapoteza wafuwasi😆😆
Nimeamua kutafta tiba baada ya kuona goli la kwanza ndani ya dk 2 nakuwa nimeshautupa mkuu! Nadhan hio ndo side effect ya kwanza.Kila kitu hakikosi side effects
Hata ugali nao ukiuchunguza una side effects
Cha kukiepuka au kupunguza ni pale hizo side effects zinakupelrka kwenye direction ya kupata kilema cha kudumu au kifo.
Hahahaha hii kitu nimeiacha! HAIFAI.
Tuombeane mkuu nisirudi!Nyeto unapumzika tu
Goli la kwanza during masturbation au sex?Nimeamua kutafta tiba baada ya kuona goli la kwanza ndani ya dk 2 nakuwa nimeshautupa mkuu! Nadhan hio ndo side effect ya kwanza.
Hapana mkuu siku 30 ni nyingi sana!Yani umekaa mwezi mmoja tu tayari umeanza kujipa na pongezi?
Yani hiyo kwenye soka ni sawa na mchezaji mwenye kadi ya njano afunge goli dakika 15 halafu ashangilie kwa kuvua shati