OSCAR A. PESSA
New Member
- Feb 9, 2014
- 3
- 1
Habarini ndugu zangu...
Nahitaji kujiendeleza na masomo, kusoma master's mimi nina degree ya kwanza ya accounts na ninahitaji sana kuendelea na degree ya pili na sina idea degree ipi ya pili itakua nzuri kwangu.
Naombeni msaada wenu na pia ni chuo gani hapa Dar es salaam naweza soma degree yangu ya pili?
Asanteni.
Nahitaji kujiendeleza na masomo, kusoma master's mimi nina degree ya kwanza ya accounts na ninahitaji sana kuendelea na degree ya pili na sina idea degree ipi ya pili itakua nzuri kwangu.
Naombeni msaada wenu na pia ni chuo gani hapa Dar es salaam naweza soma degree yangu ya pili?
Asanteni.