Meddick_Uwezo
Member
- Jul 21, 2018
- 54
- 27
Habari wanajamvi swali langu ni hili hivi sababu iipi inachangia mtu kujifungua kabla ya muda yaani miezi 9??
Pia naomba kujua sababu inayofanya mimba kuharibika
Pia naomba kujua sababu inayofanya mimba kuharibika