Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
- Thread starter
-
- #41
Kifafa cha kuzaa kikiwa ni sugu zipo dawa za kienyeji zinazotibu huo ugonjwa wa kifafa mgonjwa akienda kwa waganga wa kienyeji anaweza kutibiwa na kupona................... idetenashukuru sana kwa hili darasa ila naomba unisaidie juu y namna gani utaepuka kifafa cha kuzaa na mwanamke akipata kifafa cha kuzaa kinatibika hosp na kikiwa sugu inakuwa vp hapo mzizi
Marahaba mwanangu The secretary tumeshakuwa watu wazima eehhhh ningelikuwa Mwanangu ni mtoto wa kike basi hivi sasa mimi ninaitwa Babu kasheshe kweli lakini mwanangu ni dume la nyani mwaname kama mimi si unajuwa Mtoto wa kiume anachelewa kuzaa kuliko mtoto wa kike? ingawa mimi ninaitwa Babu kwa wajukuu wa dada zangu maana Dada zangu wote wamesha jukuu nimebaki mimi tu kupata mjukuu asante mwanangu wewe pia.