Kujihisi Uchovu muda mwingi

Kujihisi Uchovu muda mwingi

Kwa mimi uchovu wa namna hii, nabadili chakula cha mchana nakula matunda au kachumbari ya uhakika alafu napiga mazoezi asubuhi na saa nyingine jioni

Simalizi hata siku 2 nakuwa fiti.
Ila pia msongo wa mawazo husababisha uchovu usio wa kawaida,,, pengine una jambo linalokuumiza akili au unywaji wa pombe kupita kiasi huleta matokeo ya namna hii.

Badili mlo wako mmoja kwa siku uwe ni matunda au ukatekate nyanya, vitunguu, matango, karoti, na pilipili kama unatumia alafu kamulia limao uchanganye vizuri ule. Mchanganyiko huu utakufanya upate na hamu ya kula kama ulikuwa huna hamu ya kula.

Kubwa kuliko yote usikubali akili yako kuwa na stress! Ibebeshe akili yako mambo inayoweza sio yale isiyoweza
Sinywagi pombe
La kuhusu mawazo ni kweli kuna mambo yananitatiza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
H
Vyakula wanga nakula mara nyingi kulingana na jamii zetu mitaani
Nikinywa maji nakojoa mara kwa mara
Ina maana mkuu nmeshapata kisukari[emoji22][emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kapime kwanza ujue ipo sukari kiasi gani pia Ni vema uende hospitali ya serikali au Kama Ni binafsi Basi nenda hospitali kubwa upate ivipimo kwa usahihi halafu kabla hujaanza meza njugu ulete mrejesho hapa
 
Back
Top Bottom