Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fangasi ni kitu mbaya sana na ikikushika vizuri huwezi ona haya kujikuna hata uwe mbele ya jukwaaKuna tabia hii inaboa sana, mpo mbele ya umati halafu kajamaa kanatokeza na kujikuna sehemu zile nyeti.
Tena ukimchunguza unamkuta hana habari kabisa, mpaka ahisi kuna wadau wanamshangaa ndio utaona kama na yeye anashangaa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana mkuu ukija ule wenyewe lazima nikune pumbu na sijali ananiona nani,yaani nikajikune kichakani wakati kipo mbali?Na nikuulize kwann uangalie nyeti zangu maana mpaka uone najikuna ulikuwa unaangalia nn?
No 2 kulikua na mkaka chuo, alikua na hiyo tabia, yaan mda wote mkono uko maeneo, hata nje ya suruali anakuna hivyo hivyo.Mambo yanayoashiria mtu hana ustaarabu na ni mchafu
1. Kutema mate mahali popote
2. Kujikuna sehem nyeti hadharani na kuna wale wanaotembea mikono wanaiweka ndani ya sehemu ya mazingiraa.
3. Kujichokonoa puani na vidole hadharani..
Mtu wa hivi sipendi ukaribu nae kabisa maana kwanza ni wazuri sana kutoa mikono.
Sipendi uchafu mno siwezi hata kuelezea.
Tabia ya hovyo sana, kipindi nipo chuo nilikuwa na rafiki yangu, alikuwa very smart na vile alikuwa ameshika dini alikua msafi mpaka wa moyo(hakuwahi kumiliki pisi mpaka tunamaliza).No 2 kulikua na mkaka chuo, alikua na hiyo tabia, yaan mda wote mkono uko maeneo, hata nje ya suruali anakuna hivyo hivyo.
Siku 1 nlimtolea uvivu, aliachaa
Hatakama uking'atwa na siafu?Kuna tabia hii inaboa sana, mpo mbele ya umati halafu kajamaa kanatokeza na kujikuna sehemu zile nyeti.
Tena ukimchunguza unamkuta hana habari kabisa, mpaka ahisi kuna wadau wanamshangaa ndio utaona kama na yeye anashangaa!
😅😅😅😅😅Tabia ya hovyo sana, kipindi nipo chuo nilikuwa na rafiki yangu, alikuwa very smart na vile alikuwa ameshika dini alikua msafi mpaka wa moyo(hakuwahi kumiliki pisi mpaka tunamaliza).
Siku moja nikalala kwake baada ya mvua kunyesha bila kukoma, ile asubuhi tunatoka alijikuna maeneo sana mi nikawa najifanya sioni, hakunawa, akanusa alafu huyo akafunga mlango tukaanza safari ya kuelekea chuo, kabla hatujafika akanunua karanga akanikaribisha, nilikataa kabisa. Nikawaza kumbe huyu jamaa na usmart wake ni mchafu hivi? Nikawaza kumbe anavyosalimia kwa kukupa mkono tunashika uchafu, na anavyopenda kuwapa watu mkono. Nilishangaa sana
NAKAZIA nakunyonya mbunye pia na tigoMambo yanayoashiria mtu hana ustaarabu na ni mchafu
1. Kutema mate mahali popote
2. Kujikuna sehem nyeti hadharani na kuna wale wanaotembea mikono wanaiweka ndani ya sehemu ya mazingiraa.
3. Kujichokonoa puani na vidole hadharani..
Mtu wa hivi sipendi ukaribu nae kabisa maana kwanza ni wazuri sana kutoa mikono.
Sipendi uchafu mno siwezi hata kuelezea.
Hapo umewagusa wengiNAKAZIA nakunyonya mbunye pia na tigo
PunyetoKuna tabia hii inaboa sana, mpo mbele ya umati halafu kajamaa kanatokeza na kujikuna sehemu zile nyeti.
Tena ukimchunguza unamkuta hana habari kabisa, mpaka ahisi kuna wadau wanamshangaa ndio utaona kama na yeye anashangaa!
Tabia ya hovyo sana, kipindi nipo chuo nilikuwa na rafiki yangu, alikuwa very smart na vile alikuwa ameshika dini alikua msafi mpaka wa moyo(hakuwahi kumiliki pisi mpaka tunamaliza).
Siku moja nikalala kwake baada ya mvua kunyesha bila kukoma, ile asubuhi tunatoka alijikuna maeneo sana mi nikawa najifanya sioni, hakunawa, akanusa alafu huyo akafunga mlango tukaanza safari ya kuelekea chuo, kabla hatujafika akanunua karanga akanikaribisha, nilikataa kabisa. Nikawaza kumbe huyu jamaa na usmart wake ni mchafu hivi? Nikawaza kumbe anavyosalimia kwa kukupa mkono tunashika uchafu, na anavyopenda kuwapa watu mkono. Nilishangaa sana