Kujiona huna thamani kipindi huna mkwanja

Kujiona huna thamani kipindi huna mkwanja

Blue-ish

Member
Joined
Aug 26, 2022
Posts
63
Reaction score
120
Hivi huku kujiona huna thamani kipindi huna hela husababishwa na nini? Au kuona aibu yani kama vile huko nje watu watakuwa wanajua huna kitu, au ile hali ya kujiangalia kwenye kioo uone unatisha umepauka, unajiona uko uko tu.

Kutokuwa na hela kunatia unyonge sana.
 
Hayo mambo ni wadada hufanya
Hivi huku kujiona huna thamani kipindi cha hela husababishwa na nini? Au kuona aibu yani kama vile huko nje watu watakuwa wanajua huna kitu, au ile hali ya kujiangalia kwenye kioo uone unatisha umepauka, unajiona uko uko tu.

Kutokuwa na hela kunatia unyonge sana.
 
Bet upate hela km mwanamke nenda kadange masaa mawili una laki 2 mkononi,
hii ndio mindset mliokuwa nayo,kubet ni mchezo wa bahati nasibu unaweza shinda au kuliwa yani sina hela alafu niende nikajimalize?Your nat serious!..

Mshatutengenezea umalaya kwenye vichwa vyetu,kwamba mdada akitaka pesa aende akalale na mwanaume kisha apewe pesa…hivi ikiwa unamtoto wa kike unaweza mwambia akadange ili apate pesa au hata ikiwa hujali kuhusu huyo mtoto wako maana siku hizi mnakimbia majukumu ya kuwa wazazi…mnasema watoto wa wenzenu wanafanya uzinzi kumbe ni nyinyi ndio mnaochangia jamii kuteketea…Shame!
 
Unajitoa hata magrup ya shule/ chuo unakua unatamani ukae peke yako. Ukikutana na mwenzako anatokea kazini unaona "Dah mi sijui itakua lini hii?"
unajikuta unaona you don't fit any more…kwenye circle yao
 
trust me,yani ukijiangalia kwenye kioo unajiona umepauka,umechoka hata kutoka nje unahisi watu watakuzungumza au kukucheka
Ina leta stress sana inapelekea hata kupata mawazo kujiua kama ni hali umekuwa nayo mda mrefu.ila me naamin ni somo unapewa na Mungu before ajakubariki..
 
Back
Top Bottom