DOKEZO Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
R

Rudia kusoma Tena hiyo comment yangu, Kuna maelezo ya nyongeza nimeweka.
Aidha, fanya kwanza utafiti wako wa kina juu ya suala hili. Usikurupuke kuandika vitu
Upo hapa mkuu sina rasilimali za kufanya tafuti kubwa hivi!!
Unaweza kutuwekea vyanzo vya hicho unachoongea hapa??
If no haziwez kua valid bali ni wishful thinking
 
Sio makubwa tu Rwanda inakua kwa kuziharibu nchi nyingine.
Kwasababu haina democracia ni nchi ya one man hivo inaweza peleka majeshi popote na kuwatoa sadaka wanajeshi idadi yyte hata kama haifaidiki au hakuna faida kwa nchi
Hakuna utawala uliowahi kutokea duniani bila kufanya ukatili na kuumiza wanyonge.
 
Hakuna utawala uliowahi kutokea duniani bila kufanya ukatili na kuumiza wanyonge.
Sasa ndo nini?? justification
kwaiyo unaamini rwanda ikishaziharibu nchi zingine za kiafrica ndo itakua taifa kubwa??
hii ni sick mentality kudhan nchi inayoongozwa na tribe inaweza ikaishinda empire

Tribe cannot conquer Empire~JK nyerere
 
Kuwa makini sana na hawa akina econonist , chama cha CDM mizizi na asili yake kubwa ni nchini RWANDA. Kuwa makini sana na hao watu. Na ndio maan haitakaa itokee hiki chama kushika madaraka nchi hii never.

NB
Siipend ccm.
Nilishasikia hii rumor kwamba uchaguzi fulani walimsapoti bwana yule ashinde uchagyzi
 
Sasa ndo nini?? justification
kwaiyo unaamini rwanda ikishaziharibu nchi zingine za kiafrica ndo itakua taifa kubwa??
hii ni sick mentality kudhan nchi inayoongozwa na tribe inaweza ikaishinda empire

Tribe cannot conquer Empire~JK nyerere
Tawala zote kubwa ulizosikia na unazoendelea kuzisika duniani hazijafika hapo bila kuumiza tawala zingine...know the rule of the jungle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…