Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Shida huelewi!!Tawala zote kubwa ulizosikia na unazoendelea kuzisika duniani hazijafika hapo bila kuumiza tawala zingine...know the rule of the jungle.
Ebu tumsubiriYan we acha tu, kuna mtu atakuja hapa amwage detail
Lini mkuuKuna mtu nitamleta hapa amwage details 😂
Charles Mandela njoo uwape habar hapa kuhusu cdm na rwanda 😅Lini mkuu
Ni kweli kabisa wale wana hayo mamboMusa siyo mrefu utasikia wanajeshi wa Tanzania wameuwawa na magaidi kumbe Ni wanyarwanda ndio wako nyuma
TunamsubirCharles Mandela njoo uwape habar hapa kuhusu cdm na rwanda 😅
The late White hair au?Nilishasikia hii rumor kwamba uchaguzi fulani walimsapoti bwana yule ashinde uchagyzi
Ndio huyo mwamba nasikia zilimwagwa pesa nyingi sana ili ashinde!!The late White hair au?
Hata ule mradi wa kugawa pikipiki kwa makatibu ya CDM ulifadhiliwa na yeye.Ndio huyo mwamba nasikia zilimwagwa pesa nyingi sana ili ashinde!!
Ilikua ni vita kati ya mataifa mawili yasiyopendana
Nisingependa kueleza kwa undani sana kuhusu suala hili, lakini nakushauri wewe binafsi pamoja na Watu wengine ambao wana mashaka juu ya suala hili kuwa fanyeni utafiti wenu binafsi ili mpate kujiridhisha kuhusu usahihi wa hicho nilichoeleza. Naamini kwamba baada ya kufanya utafiti wa kina ambao hauko 'bias' mtaweza kubaini ukweli juu ya hiki nilichoeleza.Unaweza kuweka source yako inayoeleza chanzo cha mgogoro huo kuwa wa kisiasa kati ya RENAMO na FRELIMO?
Nchi ya Msumbiji imepakana na nchi zingine nyingi kama vile nchi ya Afrika ya Kusini, Swaziland (Eswatini), Zimbabwe, Zambia, Malawi na Tz.Kundi linavuka msumbiji linavuka nchi linakuja tanzania linauwa watu wanarudi msumbiji hafu unasema si ugaidi!!
Suala la dini au udini kwenye Mgogoro huo wa huko Msumbiji linatumika tu na wahusika kama 'SCAPEGOAT' ili waweze kupata msaada wa kijeshi au msaada wa silaha za kuweza Kupigania Vita dhidi ya maadui zao.Unataka kusema RENAMO ndio imeform answar, hilo kundi la kiislam liisumbue msumbiji, kwa nini wajinasibu kuwa genge la kiislam wakati nchi hiyo si ya kidini?
SANDF ilikuwa bora na imara enzi za watawala wenye pua ndefu. Tangu pua fupi na nywele za kipilipili kuchukua hatamu kila kitu imekuwa utopolo.Tz bora iyarudishe majeshi yake yaliyoko operesheni sehemu mbalimbali Afrika kama hakuna matokeo mazuri
Hata USA na ulaya yote zimekuwa kwa kuharibu AfrikaSio makubwa tu Rwanda inakua kwa kuziharibu nchi nyingine.
Kwasababu haina democracia ni nchi ya one man hivo inaweza peleka majeshi popote na kuwatoa sadaka wanajeshi idadi yyte hata kama haifaidiki au hakuna faida kwa nchi
Hawa wapumbavu wa jwtz wanaogombea na na raia kwenye bar huko mitaani kila siku si wapelekwe huko Msumbiji ?Jeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji.
Hii ni kutokana na siasa za Africa kusini zinazoshinikiza Africa kusini kutoa majeshi DRC pia kwene nchi nyingine kama Msumbiji.
Majeshi ya SADC yamekua yakifanya operation kwene nchi za SADC hivi sasa haswa katika jamuhuri ya Congo yakiisaidia DRC kupambana na M23 na msumbiji ya kisaidia kupambana na kundi la mlengo wa Al shababu linaloisumbua serikali ya msumbiji Kasikazi mwa nchi. Na huko kote jeshi la tanzania limekua likihusika ambako SADC imekua ikiyapeleka majeshi yake.
Kwa ambao hawajui Kundi hili linaisumbua msumbiji kwa miaka zaid ya 10 na lishawai fanya mashambulizi kadhaa nchini mpakana na msumbiji hada jimbo la Cabo del gado!!
Inasemekana Kundi hili linauhusiano mkubwa na Ugaidi uliokua unatokea Kibiti kwa kua lilitaka kujenga himaya yake kati ya Tanzania na msumbiji . Lakini lilikuja kutolewa Awamu ya tano ambapo walifanikiwa kushinda vugu vugu hilo dhidi ya Kundi hilo hatari.
Wana mgambo wapo kaskazini mwa Msumbiji ambako ni karibu na tz, ina maana tz ikizubaa kwa sekunde kadhaa hao wana jihad feki watataka kujipenyeza ndani ya nchi yetu, kama walivyo jaribu kufanya hivyo kwa kutaka kuweka kambi Kibiti kwa mujibu wa mtoa mada.Tz bora iyarudishe majeshi yake yaliyoko operesheni sehemu mbalimbali Afrika kama hakuna matokeo mazuri
Je, Somalia Kuna Mali gani ambayo nchi za Magharibi zinaweza kuchota??Hayo makundi yote ya kigaidi yanayopewa majina ya Kiislam ni makundi hanayoundwa na nchi za magharibi kiustadi wa ujasusi nabwanatumitamaa za watu wenye njaa ili waendelee kuchota mali za Afrika.
Wajinga ndiyo waliwao.