Mafuta.Je, Somalia Kuna Mali gani ambayo nchi za Magharibi zinaweza kuchota??
BTW nina kufahamu, ninaelewa unachokifanya katika mjadala huu.Nisingependa kueleza kwa undani sana kuhusu suala hili, lakini nakushauri wewe binafsi pamoja na Watu wengine ambao wana mashaka juu ya suala hili kuwa fanyeni utafiti wenu binafsi ili mpate kujiridhisha kuhusu usahihi wa hicho nilichoeleza. Naamini kwamba baada ya kufanya utafiti wa kina ambao hauko 'bias' mtaweza kubaini ukweli juu ya hiki nilichoeleza.
FYI: Hata baadhi ya Viongozi wakubwa ambao wapo ndani ya Serikali iliyopo madarakani hivi sasa huko nchini Msumbiji pia ni Wanachama wa kificho wa Chama Cha RENAMO kinachopingana na Serikali, pia ni Wafadhili wakubwa wa Mgogoro huo huku wakiiwasaidia kwa siri Sana hao wapiganaji wa RENAMO wanaosumbua huko Msumbiji. Ndio maana unaona kwamba kuna ugumu sana kwa Serikali ya Msumbiji kuweza kulidhibiti na kulitokomeza hilo kundi la Wapiganaji waliopo huko.
We naona ndio umeingia chaka kabisa. Umeelezea hisia zako kuliko uhalisia wa mambo.Inavyoonekana wa-Tanzania wengi sana siyo watu wa kufanya utafiti kuhusiana na mambo mengi ya Migogoro iliyopo ktk nchi zetu hizi za Afrika. Mgogoro uliopo nchini Msumbiji SIYO KWELI kwamba ni mgogoro wa kidini au masuala ya Ugaidi unaoambatana na masuala ya dini, hususani dini ya kiislamu, the answer is NO. Ule purely ni Mgogoro wa kisiasa utokanao na watawala wa nchi hiyo ya Msumbiji (FRELIMO) kushindwa kuongoza Watu (wananchi) vizuri, matokeo yake wakazalisha vurugu hizi zinazoendelea hivi sasa.
Fanyeni tafiti zenu vizuri ili muweze kubaini kiini hasa Cha kuibuka kwa Mgogoro huo. Mgogoro huo una historia ndefu kidogo, na kwa bahati mbaya sana hata sisi wa-Tanzania (Utawala wa CCM ) nao ni chanzo kimojawapo Cha kuasisi Mgogoro huo wa huko Msumbiji. Na ukibahatika kuwasikia wenyewe Raia wa Msumbiji ambao ni wahusika hasa wa Mgogoro huo(yaani Watu wafuasi wa chama Cha RENAMO kinachopingana na Utawala wa FRELIMO) utaona wanaeleza Wazi kabisa kwamba Maadui zao wakubwa kwenye huo Mgogoro ni Utawala wa FRELIMO ya Msumbiji na Utawala wa CCM ya Tanzania, yaani hawafichi kabisa kuhusu suala hili. Wapiganaji wa RENAMO wanaamini kwa dhati kabisa kwamba bila ya Mwl. Nyerere na CCM yake kuisaidia FRELIMO katikà Vita vyao, basi Chama Cha RENAMO kingeshika madaraka na kuwa chama Tawala nchini Msumbiji, CCM ndio imekuwa kikwazo kwao RENAMO Cha kuweza kuwa chama Tawala. Sisi wa-Tanzania tunahesabiwa Kama maadui kwenye huo Mgogoro wa huko Msumbiji hususani kutokana kitendo cha Utawala wa CCM kuisaidia Sana Serikali ya FRELIMO kwenye masuala ya vita.
Mafuta gani? Mafuta ya mgando ya kupaka mwilini au mafuta gani unayozungumzia wewe???Mafuta.
Hata hayo ni mafuta pia.Mafuta gani? Mafuta ya mgando ya kupaka mwilini au mafuta gani unayozujgumzia wewe???
ushaona nchi za ulaya zinakua kwa kuharibu nchi nyingine!! wao walishajitambua wao ni wamoja saizi vita yao ni dhidi ya waarabu, dhidi ya wachina na dhidi ya waafrica!!Hata USA na ulaya yote zimekuwa kwa kuharibu Afrika
Hapa faiza FaizaFoxy nakubaliana naww asilimia 100%Hata hayo ni mafuta pia.
Unafikiri watu wataigombania nchi isiyo yao bure bure?
Wazungu sasa wanatutumia wajinga tuuwane wenyewe kwa wenyewe wakati wao wanajichotea tu. Tukitahamaki, wametumaliza au wameweka vikaragosi vyao.
Ni kueleza ukweli mchungu ambao watu wengi sana huwa hawapendi kuisikia, hususani jamii za Watu weusi ambao wengi wao ni wanafiki.BTW nina kufahamu, ninaelewa unachokifanya katika mjadala huu.
Sina kawaida ya kukurupuka, nina uhakika na hicho nilichoeleza.We naona ndio umeingia chaka kabisa. Umeelezea hisia zako kuliko uhalisia wa mambo.
Huo mgogoro sio wa RENAMO na FRELIMO. Hujafatilia mgogoro bali huenda umechukua story za kijiwe cha kahawa
Mkuu inategemea na uelewa wako kuhusu mali!Je, Somalia Kuna Mali gani ambayo nchi za Magharibi zinaweza kuchota??
Umejuaje kama sipo Msumbiji?Ni kueleza ukweli mchungu ambao watu wengi sana huwa hawapendi kuisikia, hususani jamii za Watu weusi ambao wengi wao ni wanafiki.
Sina kawaida ya kukurupuka, nina uhakika na hicho nilichoeleza.
Msumbiji siyo mbali, unaweza kwenda huko wewe mwenyewe na kisha ukafanya utafiti wako na kujiridhisha juu ya facts za suala hili.
kenge hao walifurushwa kimyakimya bila kutajwa kuwa ni magaidi. Hivi waliichukuliaje tanzania, waliona ni kama congo mashariki? Walijitoa ufahamu wakaona kibiti wanaweza kuweka kambi huko bila kushughulikiwa. Tz sio msumbiji, mipaka yake si ya kuvamiwa na wahuni wa aina yeyoteWana mgambo wapo kaskazini mwa Msumbiji ambako ni karibu na tz, ina maana tz ikizubaa kwa sekunde kadhaa hao wana jihad feki watataka kujipenyeza ndani ya nchi yetu, kama walivyo jaribu kufanya hivyo kwa kutaka kuweka kambi Kibiti kwa mujibu wa mtoa mada.
Ni hatari let's pray for our army
heshimu jeshi la nchi yako, wana kazi nzito sana kulinda nchiHawa wapumbavu wa jwtz wanaogombea na na raia kwenye bar huko mitaani kila siku si wapelekwe huko Msumbiji ?
Au jwtz/ jeshi la wapumbav Tanzania ni jeshi la kufuga vitambi na makalio kuja kugombania pombe na malaya mitaani ?
Hata kama upo Msumbiji, "kukaa karibu na Mahakama siyo kujua Sheria."Umejuaje kama sipo Msumbiji?
Mwenye baridi haogopi moto.Hata kama upo Msumbiji, "kukaa karibu na Mahakama siyo kujua Sheria."
"No research no right to speak." Mao Zedong.
Anzeni kuikalia Zanzibar Kwanza kimabavu ndio muwe na ndoto za kutanua mipaka ya nchi,hamuoni huu muungano umeshazeeka kinachotakiwa hapo sio kuuvunja Bali ni Zanzibar kulazimishwa kumezwa na bara? Akigoma achakazwe. Tuanze na tunayemumudu Kwanza.Mimi nilishauri Tuanzishe mgogoro na serikali ya Msumbiji tuwapige tuitawale kaskazini mwa Msumbiji hii itatusaidia kujiimarisha kiulinzi kutokana na vitisho vya hawa magaidi na pia tutanufaika na utajiri wa raslimali uliopo katika maeneo hayo ikiwemo madini pamoja na gesi asilia.
Mbona iko wazi kabisa na hapa wewe ndo umetumia utumbo kufikiri ndugu.Hicho kikundi cha msumbiji umeita CHA KIISLAMU, vipi M23 ni kikundi cha akina nani? Sometime muwe mnatumia common sense na sio utumbo kufikiri
Kwann tusisikie kuwa wanajeshi wa Rwanda wameuawa na magaidi halafu iwe ni Jw? Kwann wao wawe wazembe wazembe kuonewa tu kila siku???Ni kweli kabisa wale wana hayo mambo
Heshi letu linatosha. Wachangie bajeti ya ulinzi tu tugawe ajira kwa vijana wetuJeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji.
Hii ni kutokana na siasa za Africa kusini zinazoshinikiza Africa kusini kutoa majeshi DRC pia kwene nchi nyingine kama Msumbiji.
Majeshi ya SADC yamekua yakifanya operation kwene nchi za SADC hivi sasa haswa katika jamuhuri ya Congo yakiisaidia DRC kupambana na M23 na msumbiji ya kisaidia kupambana na kundi la mlengo wa Al shababu linaloisumbua serikali ya msumbiji Kasikazi mwa nchi. Na huko kote jeshi la tanzania limekua likihusika ambako SADC imekua ikiyapeleka majeshi yake.
Kwa ambao hawajui Kundi hili linaisumbua msumbiji kwa miaka zaid ya 10 na lishawai fanya mashambulizi kadhaa nchini mpakana na msumbiji hada jimbo la Cabo del gado!!
Inasemekana Kundi hili linauhusiano mkubwa na Ugaidi uliokua unatokea Kibiti kwa kua lilitaka kujenga himaya yake kati ya Tanzania na msumbiji . Lakini lilikuja kutolewa Awamu ya tano ambapo walifanikiwa kushinda vugu vugu hilo dhidi ya Kundi hilo hatari.