Kujiondoa Kwa Marekani kwenye WHO ni sawa na kukataa kuwa Kaka mkubwa Wa Dunia. Trump hafai kuwa kiongozi wa USA

Kujiondoa Kwa Marekani kwenye WHO ni sawa na kukataa kuwa Kaka mkubwa Wa Dunia. Trump hafai kuwa kiongozi wa USA

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.
 
Yeye alikwambia kuwa anataka kuwa kaka mkubwa?!
Ombaomba analalamika kuwa mfadhiri wake amemkatia msaada, na kuwa mfadhiri ataathirika kwa kukata hiyo msaada,
ombaomba anamtisha tajiri?!, pathetic mindset
 
Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.

Trump ana haki ya kufanya hivyo, mnatakiwa mjitegemee nyinyi wenyewe, Wala msiendelee kuitegemea Marekani.

Marekani Wana Sera ya Uzazi wa Mpango, hii ni katika kubana Matumizi wa Fedha katika Bajeti zao, Wafrika wengi zaidi wanaotegemea Misaada kutoka Marekani hawataki kufuata Sera ya Uzazi wa Mpango huku maisha yao yote kabisa yanategemea Misaada. Wewe unaona jambo hili linakuingia akilini kweli???
Acha Trump akate Misaada yote kabisa ili Wafrika (Watu weusi) wapate akili nzuri ya kuweza kujitambua na kuanza kujitegemea wao wenyewe.
 
Mwacheni apige spana, ni awamu yake nchi yake.
Hakuna cha bure tena..
Haswaaaa.

Kwa mwari kwaliwa na kwa kungwi nako kwaliwa!

Kwanza kila kukicha Watawala wa nchi za Afrika pamoja na Vibaraka wao wamekuwa wakiwasema vibaya Wazungu hususani Watu wa Marekani kuwa ni Mabeberu na Wapenda Ushoga, Sasa kwa nini mnalilia pesa zao za Misaada? Kwani mnashindwa Nini kutafuta pesa zenu nyinyi wenyewe na mkazitumia kwa raha zenu bila ya kuingiliwa na hao Watu mnaowaita kuwa ni Mabeberu na Wapenda Ushoga?
 
Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.
Sasa si mmekuwa mkiwasimanga kwa kila aina ya majina/ kejeli, oh mashoga mara mabeberu na kusema nyie marafiki zenu ni wa China na Urus si waambieni marafiki zenu wawasaidie? Matusi muwape lakini hela zao mzitake, acheni hizo mambo sawa?
 
Hoja yake inamashiko sana.Na Tanganyika tunalakujifunza kuhusu mgawanyo wa mapato kuhusu muungano wetu usioeleweka.Trump kasema china anawatu bilioni Moja na milioni zaidi ya mianne lakini anachangia Dola milioni 55 kama sikosei na marekani ambayo inawatu milioni miatatu inachangia Dola milioni zaidi mianne.Halafu Kuna wapuuzi wanaona uwakilishi wa wabunge wa Zanzibar na Tanganyika ni sawa
 
Back
Top Bottom