Kujiondoa Kwa Marekani kwenye WHO ni sawa na kukataa kuwa Kaka mkubwa Wa Dunia. Trump hafai kuwa kiongozi wa USA

Kujiondoa Kwa Marekani kwenye WHO ni sawa na kukataa kuwa Kaka mkubwa Wa Dunia. Trump hafai kuwa kiongozi wa USA

Trump ana haki ya kufanya hivyo, mnatakiwa mjitegemee nyinyi wenyewe, Wala msiendelee kuitegemea Marekani.

Marekani Wana Sera ya Uzazi wa Mpango, hii ni katika kubana Matumizi wa Fedha katika Bajeti zao, Wafrika wengi zaidi wanaotegemea Misaada kutoka Marekani hawataki kufuata Sera ya Uzazi wa Mpango huku maisha yao yote kabisa yanategemea Misaada. Wewe unaona jambo hili linakuingia akilini kweli???
Acha Trump akate Misaada yote kabisa ili Wafrika (Watu weusi) wapate akili nzuri ya kuweza kujitambua na kuanza kuitegemea wao wenyewe.
Hiyo sera ya uzazi wa mpango imo kwenye sera za Trump au unaongea tu, Trump ni mhalifu
 
Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.
Wewe unafaa Kwa kuwa nani?
 
Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.
Ni hasara kwa nchi tegemezi na ni kipato na faida kwa taifa la Marekani. Mfano mzuri wa matumizi mabaya ya fedha za UN ni pale gaza ambapo wafanyakazi wa UN walihusishwa na ugaidi, fikiri unafadhili mtu ukidhani ana matatizo anatumia msaada huo kuwaumiza washirika wako.

Bado kwetu sisi
 
Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.
Mimi nachoona kwa ujumla wake UN ishafail kama ilivyokwua League of nations hivyo ivunjwe tu labda itengenezwe taasisi mpya yenye meno na mambo ya veto wayatoe yale ya nchi zote kusema hivi ila nchi moja yenye veto ikipinga basi azimio halipiti.
 
Trump ana haki ya kufanya hivyo, mnatakiwa mjitegemee nyinyi wenyewe, Wala msiendelee kuitegemea Marekani.

Marekani Wana Sera ya Uzazi wa Mpango, hii ni katika kubana Matumizi wa Fedha katika Bajeti zao, Wafrika wengi zaidi wanaotegemea Misaada kutoka Marekani hawataki kufuata Sera ya Uzazi wa Mpango huku maisha yao yote kabisa yanategemea Misaada. Wewe unaona jambo hili linakuingia akilini kweli???
Acha Trump akate Misaada yote kabisa ili Wafrika (Watu weusi) wapate akili nzuri ya kuweza kujitambua na kuanza kuitegemea wao wenyewe.
Kabisaa naunga mkono hoja!
Wasfrika Bado Wana ujinga mwingi!
 
Sasa si mmekuwa mkiwasimanga kwa kila aina ya majina/ kejeli, oh mashoga mara mabeberu na kusema nyie marafiki zenu ni wa China na Urus si waambieni marafiki zenu wawasaidie? Matusi muwape lakini hela zao mzitake, acheni hizo mambo sawa?
🤣🤣
 
Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.
Trump ndo kiongozi anaefaa hasa, Tena ikuwezekana wakate kabisa misaada Ili akili ziwarudi
 
Aliyeandika ujumbe huu kuwa Trump hafai kuwa rais wa USA ni mwananchi wa Mwanjelwa - Mbeya 😂
Mwanjelwa ni town kabisa. Tena ina hadhi kidogo.

Huyu ni mwananchi maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi wa huko kijijini Madongo kuinama.
 
Trump ana haki ya kufanya hivyo, mnatakiwa mjitegemee nyinyi wenyewe, Wala msiendelee kuitegemea Marekani.

Marekani Wana Sera ya Uzazi wa Mpango, hii ni katika kubana Matumizi wa Fedha katika Bajeti zao, Wafrika wengi zaidi wanaotegemea Misaada kutoka Marekani hawataki kufuata Sera ya Uzazi wa Mpango huku maisha yao yote kabisa yanategemea Misaada. Wewe unaona jambo hili linakuingia akilini kweli???
Acha Trump akate Misaada yote kabisa ili Wafrika (Watu weusi) wapate akili nzuri ya kuweza kujitambua na kuanza kuitegemea wao wenyewe.
JPM now your dream is coming true. Can you back daddy? ooh nooo! who stop our cries coz wew ndo ungewezana na huu mfumo wa akina trampu.daah ngoja tuone
 
Waafrika hasa watanzania wana chuki dhidi ya taifa la Marekani. Utawasikia wakisema wamarekani ni mashoga na wakufuru Mungu.

Tena watu wengi wameshangilia Moto 🔥 wa Los Angeles wakisifu kwamba mashoga yanachomwa.

Halafu likija suala la kutaka na kupenda ujuzi, teknolojia, misaada na michango yao, Utaiona miafrika ndio ya kwanza kutumia na kupenda utaalamu wa wamarekani.

Tena natamani Trump apige marufuku na misaada ya USAID ili tushike adabu.
 
Mwanjelwa ni town kabisa. Tena ina hadhi kidogo.

Huyu ni mwananchi maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi wa huko kijijini Madongo kuinama.
Wewe kwa akili Yako mtu akiwa wa kijijini hafai kutoa maoni yake mkuu? Au masikini choka mbaya hapaswi kutoa maoni
 
Waafrika hasa watanzania wana chuki dhidi ya taifa la Marekani. Utawasikia wakisema wamarekani ni mashoga na wakufuru Mungu.

Tena watu wengi wameshangilia Moto 🔥 wa Los Angeles wakisifu kwamba mashoga yanachomwa.

Halafu likija suala la kutaka na kupenda ujuzi, teknolojia, misaada na michango yao, Utaiona miafrika ndio ya kwanza kutumia na kupenda utaalamu wa wamarekani.

Tena natamani Trump apige marufuku na misaada ya USAID ili tushike adabu.
Yaani mimi huwa nawashangaa sana watanzania kila dakika kuitweza Marekani oh mashoga mara makafiri kila aina ya matusi, sasa limekuja suala la maokoto amejaribu tu kukata mirija wameshaanza kupiga mayowe. Nawakumbusha tu tajiri hanuniwi
 
Trump ndio anajua, yaani watu wahangaike kupiga kazi wakati nyie mumekalia upigaji tu na kutoa sifa za kipumbavu kwa mtu eti mnamuita mama wakati sio hata mama yenu kisha eti mpewe vya bure..!!! Kwa uzuri gani mlionao.

The Trump's policy of "America First" is the best ever and the countries who's policies are obscure are the ones whose people are streaming to United States in search of the greener pastures.
 
Trump ana haki ya kufanya hivyo, mnatakiwa mjitegemee nyinyi wenyewe, Wala msiendelee kuitegemea Marekani.

Marekani Wana Sera ya Uzazi wa Mpango, hii ni katika kubana Matumizi wa Fedha katika Bajeti zao, Wafrika wengi zaidi wanaotegemea Misaada kutoka Marekani hawataki kufuata Sera ya Uzazi wa Mpango huku maisha yao yote kabisa yanategemea Misaada. Wewe unaona jambo hili linakuingia akilini kweli???
Acha Trump akate Misaada yote kabisa ili Wafrika (Watu weusi) wapate akili nzuri ya kuweza kujitambua na kuanza kuitegemea wao wenyewe.
Ww na ukoo wako bado mnategemea kujisimamia mchezo huo ni msamiati kwa mtu mweusi duniani haujafanikiwa
 
Back
Top Bottom