Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
- Thread starter
-
- #21
Hiyo sera ya uzazi wa mpango imo kwenye sera za Trump au unaongea tu, Trump ni mhalifuTrump ana haki ya kufanya hivyo, mnatakiwa mjitegemee nyinyi wenyewe, Wala msiendelee kuitegemea Marekani.
Marekani Wana Sera ya Uzazi wa Mpango, hii ni katika kubana Matumizi wa Fedha katika Bajeti zao, Wafrika wengi zaidi wanaotegemea Misaada kutoka Marekani hawataki kufuata Sera ya Uzazi wa Mpango huku maisha yao yote kabisa yanategemea Misaada. Wewe unaona jambo hili linakuingia akilini kweli???
Acha Trump akate Misaada yote kabisa ili Wafrika (Watu weusi) wapate akili nzuri ya kuweza kujitambua na kuanza kuitegemea wao wenyewe.
Wewe unafaa Kwa kuwa nani?Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.
Ni hasara kwa nchi tegemezi na ni kipato na faida kwa taifa la Marekani. Mfano mzuri wa matumizi mabaya ya fedha za UN ni pale gaza ambapo wafanyakazi wa UN walihusishwa na ugaidi, fikiri unafadhili mtu ukidhani ana matatizo anatumia msaada huo kuwaumiza washirika wako.Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.
Mimi nachoona kwa ujumla wake UN ishafail kama ilivyokwua League of nations hivyo ivunjwe tu labda itengenezwe taasisi mpya yenye meno na mambo ya veto wayatoe yale ya nchi zote kusema hivi ila nchi moja yenye veto ikipinga basi azimio halipiti.Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.
Kabisaa naunga mkono hoja!Trump ana haki ya kufanya hivyo, mnatakiwa mjitegemee nyinyi wenyewe, Wala msiendelee kuitegemea Marekani.
Marekani Wana Sera ya Uzazi wa Mpango, hii ni katika kubana Matumizi wa Fedha katika Bajeti zao, Wafrika wengi zaidi wanaotegemea Misaada kutoka Marekani hawataki kufuata Sera ya Uzazi wa Mpango huku maisha yao yote kabisa yanategemea Misaada. Wewe unaona jambo hili linakuingia akilini kweli???
Acha Trump akate Misaada yote kabisa ili Wafrika (Watu weusi) wapate akili nzuri ya kuweza kujitambua na kuanza kuitegemea wao wenyewe.
π€£π€£Sasa si mmekuwa mkiwasimanga kwa kila aina ya majina/ kejeli, oh mashoga mara mabeberu na kusema nyie marafiki zenu ni wa China na Urus si waambieni marafiki zenu wawasaidie? Matusi muwape lakini hela zao mzitake, acheni hizo mambo sawa?
Trump ndo kiongozi anaefaa hasa, Tena ikuwezekana wakate kabisa misaada Ili akili ziwarudiHasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni wehu na wamarekani wasikibali ujinga huu.
Mwanjelwa ni town kabisa. Tena ina hadhi kidogo.Aliyeandika ujumbe huu kuwa Trump hafai kuwa rais wa USA ni mwananchi wa Mwanjelwa - Mbeya π
JPM now your dream is coming true. Can you back daddy? ooh nooo! who stop our cries coz wew ndo ungewezana na huu mfumo wa akina trampu.daah ngoja tuoneTrump ana haki ya kufanya hivyo, mnatakiwa mjitegemee nyinyi wenyewe, Wala msiendelee kuitegemea Marekani.
Marekani Wana Sera ya Uzazi wa Mpango, hii ni katika kubana Matumizi wa Fedha katika Bajeti zao, Wafrika wengi zaidi wanaotegemea Misaada kutoka Marekani hawataki kufuata Sera ya Uzazi wa Mpango huku maisha yao yote kabisa yanategemea Misaada. Wewe unaona jambo hili linakuingia akilini kweli???
Acha Trump akate Misaada yote kabisa ili Wafrika (Watu weusi) wapate akili nzuri ya kuweza kujitambua na kuanza kuitegemea wao wenyewe.
Ukiona mbongo anawaka jua mrija umekatwaAliyeandika ujumbe huu kuwa Trump hafai kuwa rais wa USA ni mwananchi wa Mwanjelwa - Mbeya π
Wewe kwa akili Yako mtu akiwa wa kijijini hafai kutoa maoni yake mkuu? Au masikini choka mbaya hapaswi kutoa maoniMwanjelwa ni town kabisa. Tena ina hadhi kidogo.
Huyu ni mwananchi maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi wa huko kijijini Madongo kuinama.
Yaani Mijitu ilivyo Viazi Kutwa Marekani kama Mungu wao!!Aliyeandika ujumbe huu kuwa Trump hafai kuwa rais wa USA ni mwananchi wa Mwanjelwa - Mbeya π
Yaani mimi huwa nawashangaa sana watanzania kila dakika kuitweza Marekani oh mashoga mara makafiri kila aina ya matusi, sasa limekuja suala la maokoto amejaribu tu kukata mirija wameshaanza kupiga mayowe. Nawakumbusha tu tajiri hanuniwiWaafrika hasa watanzania wana chuki dhidi ya taifa la Marekani. Utawasikia wakisema wamarekani ni mashoga na wakufuru Mungu.
Tena watu wengi wameshangilia Moto π₯ wa Los Angeles wakisifu kwamba mashoga yanachomwa.
Halafu likija suala la kutaka na kupenda ujuzi, teknolojia, misaada na michango yao, Utaiona miafrika ndio ya kwanza kutumia na kupenda utaalamu wa wamarekani.
Tena natamani Trump apige marufuku na misaada ya USAID ili tushike adabu.
Ww na ukoo wako bado mnategemea kujisimamia mchezo huo ni msamiati kwa mtu mweusi duniani haujafanikiwaTrump ana haki ya kufanya hivyo, mnatakiwa mjitegemee nyinyi wenyewe, Wala msiendelee kuitegemea Marekani.
Marekani Wana Sera ya Uzazi wa Mpango, hii ni katika kubana Matumizi wa Fedha katika Bajeti zao, Wafrika wengi zaidi wanaotegemea Misaada kutoka Marekani hawataki kufuata Sera ya Uzazi wa Mpango huku maisha yao yote kabisa yanategemea Misaada. Wewe unaona jambo hili linakuingia akilini kweli???
Acha Trump akate Misaada yote kabisa ili Wafrika (Watu weusi) wapate akili nzuri ya kuweza kujitambua na kuanza kuitegemea wao wenyewe.