Kujiondoa kwa UK umoja wa ulaya leo(1.31.2020) kutaleta unafuu kwa wabeba box?

Kujiondoa kwa UK umoja wa ulaya leo(1.31.2020) kutaleta unafuu kwa wabeba box?

Miki123

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2018
Posts
289
Reaction score
503
Leo ule mchakato wa uingereza kujitoa umoja wa ulaya unakamilika rasmi na hivyo rasmi uingereza haitokuwa mwanachama wa ulaya ifikapo saa nane usiku kwa saa afrika ya mashariki.

BBC inaripoti kuwa wananchi wanasherekea na kukusanyika kwenye jengo la bunge la uingereza wakifurahia kuwa huru kutoka umoja huo.

Umoja wa ulaya ulitengeneza unafuu na masharti nafuu kwa raia wanaoishi jumuiya hiyo kupata vibarua kwa urahisi nchini uingereza.

Hivyo raia wa nchi nyingine ilikuwa na ugumu.

Raia kutoka ulaya mashariki walikuwa wanafanya kazi zetu zile za kubeba box ambazo waafrika wengi ndio huwa wanafanya, Sasa huu mchakato hauwezi ukafungua njia kwa wabeba box wapya au ndio masharti yatakuwa magumu zaidi.

Pongezi ziende kwa Boris Johnson kwa kuufanikisha huu mchakato maana uliwaondoa cameroon na teresa may
 
Huu Mpango Natamani Sana Ukamilike Maana Najua Utaharakisha Kuvunjika Kwa Umoja Wa Ulaya

US Washenzi Sana Siwapendi Ila Kwa Hapa Nawapa Heko Maana CIA Wamezichanga Vyema Mnoo tena Sanaaa Karata Zao Kwahili Nawaunga Mkono nanawapaKongole...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora London itakuwa safi sasa. Maana wapoland na waromania walijaa sana. Bora wapoland wanapiga kazi. Waromania ombaomba halafu wachafuuuu. Watoto wao wachafuu halafu ombaomba. Wanazaa kama kumbikumbi.
Sasa wabongo mjimwambafai.
Ndo maana wanachukiwa sana ulaya mostly western europe
 
Bora London itakuwa safi sasa. Maana wapoland na waromania walijaa sana. Bora wapoland wanapiga kazi. Waromania ombaomba halafu wachafuuuu. Watoto wao wachafuu halafu ombaomba. Wanazaa kama kumbikumbi.
Sasa wabongo mjimwambafai.
Hao waromania Si ndo wameingia mukataba na Kangi? Halafu unawaita wachafu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora London itakuwa safi sasa. Maana wapoland na waromania walijaa sana. Bora wapoland wanapiga kazi. Waromania ombaomba halafu wachafuuuu. Watoto wao wachafuu halafu ombaomba. Wanazaa kama kumbikumbi.
Sasa wabongo mjimwambafai.
Waromania ni washirikina balaaa. Hiii Jamiii ya wazungu ni hatari sana kwy ushirikina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora London itakuwa safi sasa. Maana wapoland na waromania walijaa sana. Bora wapoland wanapiga kazi. Waromania ombaomba halafu wachafuuuu. Watoto wao wachafuu halafu ombaomba. Wanazaa kama kumbikumbi.
Sasa wabongo mjimwambafai.
Hawa waromania Hadi huku ujerumani wamejaa ni ombaomba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom