Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Nyie machawa , wazeee wa Mikopo na kutembeza Bakuli la msaada, huku mkiimba mapambio, Mama anaupigaaaa!!.
Mliamua kuuacha Msingi aliokua kaunzisha BABA MAGUFULI katika kuhakikisha Taifa linaanza mchakato wa kujitegemea , mkawachukia wote wanaopinga habari za mikopo na misaada ya mashariti .
Sasa Mimi Binafsi ninamuomba Rais Donald Trump, akazie yaan hiyo miezi mitatu ya ukaguzi , apitie humohumo kusitisha misaada jumla.
Alafu Nyinyi Machawa, mnaomzunguka Rais Kwa Hila, kujipendekeza, ili kulinda matumbo yenu, mkapate kushuhudia Fukuto motomoto kutoka Kwa Wananchi .
Kwa Bahati nzuri sana Athari zake zimeshaanza kuonekana , na tunaelekea kwenye Uchaguzi !!.
Kuna MTU Mmoja aliwahi sema "Tunakopa huku, tunalipa huku, ili tukope Tena huku'.
Maono Hana, Akili imejaa mikopo tupu na misaada !! .
Muda Si mrefu, MTAKUSANYIKA CHATO, MBELE YA KABURI LA HAYATI MAGUFULI ,MUMUOMBE MSAMAHA.
Mliamua kuuacha Msingi aliokua kaunzisha BABA MAGUFULI katika kuhakikisha Taifa linaanza mchakato wa kujitegemea , mkawachukia wote wanaopinga habari za mikopo na misaada ya mashariti .
Sasa Mimi Binafsi ninamuomba Rais Donald Trump, akazie yaan hiyo miezi mitatu ya ukaguzi , apitie humohumo kusitisha misaada jumla.
Alafu Nyinyi Machawa, mnaomzunguka Rais Kwa Hila, kujipendekeza, ili kulinda matumbo yenu, mkapate kushuhudia Fukuto motomoto kutoka Kwa Wananchi .
Kwa Bahati nzuri sana Athari zake zimeshaanza kuonekana , na tunaelekea kwenye Uchaguzi !!.
Kuna MTU Mmoja aliwahi sema "Tunakopa huku, tunalipa huku, ili tukope Tena huku'.
Maono Hana, Akili imejaa mikopo tupu na misaada !! .
Muda Si mrefu, MTAKUSANYIKA CHATO, MBELE YA KABURI LA HAYATI MAGUFULI ,MUMUOMBE MSAMAHA.