hiii hapa but nahisi waliiifunga sijui kwa nini
najaribu ku google siipati vizuri
but ushahidi huo
Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba! - Page
We hii link mbona imekaa kizushi?!Hiyo thread si alianzisha na Nazjaz baada ya kutongozwa humu jamvini?!It has absolutely nothing to do with Arusha trip.....acha kutisha watu wasikutane na watu wanaoweza kua marafiki wazuri kwa uzushi usioexist!Besides....ngono sio lazima watu wakutane wengi...ni kiasi tu cha makubaliano kati ya wawili!
hebu soma vizuri hapo chini
Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba! - Page 17
- [ Translate this page ]19 Jan 2011 ... Hivi wababa wote wamesoma hii sredi? Kama bado najitolea kuwa pm moja moja ... ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! .... JUST JOINING IN JANUARY TAYARI UMESHAKUTANA NA WABABA WA JF NA KUKUTONGOZA? ...
www.jamiiforums.com/.../104128-hatutaki-tabia-hizi-z
.....Hahahah BAK bwana .....kuna siku nilijitoa akili na uasilia nikalifanya hilo mbona nilikoma..nililala hotelini na ilipofika saa kumi na moja muda anaotoka huko kwenye mkutano..simu ikazimwa hadi saa sita na nusu..........nikaambiwa charge ilikwisha wakati mie mwenyewe ndo niliicharge usiku.......nilikoma !
...kwakweli hata mimi najionea 'starehe' za mjini zinachosha... ni bora kwenda hukooo kwenye nature's peace & Quietness...
Ras Kutani,...Southern Dar es Salaam.
Girrafe ni guest house siku hizi nenda bagamoyo mamii, nafuu hata white sandNgoja na mimi ni msuprise wangu. Simpeleki mbali hapo Girrafe. Nampa ofa ya dinner kumbe ninalipa two nights nasi tuspend week end far from kids. Wajua watoto wakiwa wadogo inakuwa ngumu kulala nje maana huwezi kumuamini house girl. Kwa kuwa Girrafe si mbali anything happens to kids tunakimbia home. Maana toka nipate kids nights out zimesitishwa.
Duh! pole sana MJ1!....nafikiria jinsi ulivyonuna na kufura kwa hasira!...Mhhhhh!
YouTube - ‪Check On It‬‏
BAK mbona unatamanisha hivyo..yaani hayo mapicha mhh 'just my imagination' ..!!
Huku raha tupu! Mnakuwa kama vile mko peponi! 🙂....lazima unyong'onyee sana siku ya kurudi kwenu hahahaha lol!
Girrafe ni guest house siku hizi nenda bagamoyo mamii, nafuu hata white sand