Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
- Thread starter
-
- #21
Sikujui nikupe nini Mbu,post yako ni nzuri sana,tena sana ngoja nimtafute muhusika naye ajisomee.
...asante yanitosha mie, mhusika asijenuna akiisoma hiyo 'nikupe nini Mbu!' LOL...Enjoy!
Yeah, we all want to do this for our wives/husbands, to re-kindle our love
But, truly, an innocent Tanzanian salary man/woman can afford this luxury?
I doubt, may be, after saving for a life time!!
Cheers!
Futota. YES WE CAN bana...kwanini isiwezekane?
Tatizo la kuwa 'Pessimist,' ni kujipa uzito wa 'kuangalia nje ya Boksi!'
- Chukulia, Mwaka mzima umetoa Michango ya harusi kiasi gani,
- Unakwenda baa na washkaji (sio Mke) mara ngapi na una spend kiasi gani kila wiki...
- Unatumia gharama kiasi gani kwa matumizi ya kujikweza pasipo na ulazima...mfano kuhonga!
Tuanzeni uchoyo wa fikra.
Tuanzie kujipendelea, (priority) ni wewe na Mkeo kwanza.