MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
tujilipueni tupange twende kama group kwani tukijuana nini bana, maana uwezo tunao company ndio hatuna, maana kam hawatupeleki si bora tujipeleke wenyewe?
Usije tu ukanikimbia ukiniona...........Mbu naona itabidi tu ujibu baadhi ya hoja za msingi!!
Shantel mbona unataka kuleta vurumai mama!! Wengine both Mr&Mrs wako JF na hawajuani sasa ndo twende wote kule afu Asprin ambaye ndo Babu yangu ajue mie ni Mkewe wa ukweli, si atarudi kuangalia mabandiko yooote ya kwangu afu ole wangu kuwa kuna linalifanana na valangati la nyumbani............yataanza yale ya siri za ndani umezitoa nje!!
...mtm ha ha..ati gesti za mwanza, ..kachumba kadogo ndio kazuri, mnabanana hakuna kukimbiana.
Mwj1 unataka nikushtakie kwa mod unanilazimisha kumtaja ee..lol
...chumba changu cha uswazi choo cha kushare. Raha hiyo ya kikombe cha chai maliwatoni nitaipata wapi, mlango wenyewe wa gunia.
...acheni tu nizichange hapa, leo kauzu toka kigoma tunarusha bei.."..working like a donkey to live like a king".. narudi kibaruani..
Hili nalo neno mwenzangu.......Mbu naona itabidi tu ujibu baadhi ya hoja za msingi!!
Shantel mbona unataka kuleta vurumai mama!! Wengine both Mr&Mrs wako JF na hawajuani sasa ndo twende wote kule afu Asprin ambaye ndo Babu yangu ajue mie ni Mkewe wa ukweli, si atarudi kuangalia mabandiko yooote ya kwangu afu ole wangu kuwa kuna linalifanana na valangati la nyumbani............yataanza yale ya siri za ndani umezitoa nje!!
Hahahaha au ndo TF unakuja na mpango wa kando watudanganya ndo mkeo afu wifey naye anakuja na mpango wa nje (eh wote si ni members?-hamjuani?) mnatunga safari za uwongo then Baaam............JF Jipendelee Gathering Club!!Usije tu ukanikimbia ukiniona....
........Yaani acha tu dada yangu. Lakini ninafurahi maana bila ule mjeledi mengi nisingeyajua hadi leo!!lakini umepata darasa tosha kabisa kabisa....
Hahahaha au ndo TF unakuja na mpango wa kando watudanganya ndo mkeo afu wifey naye anakuja na mpango wa nje (eh wote si ni members?-hamjuani?) mnatunga safari za uwongo then Baaam............JF Jipendelee Gathering Club!![/QUOTE]
Ahaaa ahaaa Mjukuu hayana maneno sijui huwa unayotoa wapi lol
Nielekeze Blue Lagoon nije kabla hatujakutana JF Jipendelee Gathering ClubHili nalo neno mwenzangu
Mjukuu naona umevua gamba umekuwa mupyaa........Yaani acha tu dada yangu. Lakini ninafurahi maana bila ule mjeledi mengi nisingeyajua hadi leo!!
Hahahaha au ndo TF unakuja na mpango wa kando watudanganya ndo mkeo afu wifey naye anakuja na mpango wa nje (eh wote si ni members?-hamjuani?) mnatunga safari za uwongo then Baaam............JF Jipendelee Gathering Club!![/QUOTE]
Ahaaa ahaaa Mjukuu hayana maneno sijui huwa unayotoa wapi lol
Mjukuu naona umevua gamba umekuwa mupyaa
Hahahahaaaaaaa The Finest bana....mie mropokaji yananjia tu mwenzenu but nikiwa na furaha/amani yaani huwaga najisikia tu kusema chochote (mradi nisimwuudhi mtu) napenda kuwa huru na mwenye furaha kila wakati kwa afya yangu!
Nimekuwa mupya...........hahahaaaaaa!!
kweli swahiba...mtm ha ha..ati gesti za mwanza, ..kachumba kadogo ndio kazuri, mnabanana hakuna kukimbiana.
Mwj1 unataka nikushtakie kwa mod unanilazimisha kumtaja ee..lol
...chumba changu cha uswazi choo cha kushare. Raha hiyo ya kikombe cha chai maliwatoni nitaipata wapi, mlango wenyewe wa gunia.
...acheni tu nizichange hapa, leo kauzu toka kigoma tunarusha bei.."..working like a donkey to live like a king".. narudi kibaruani..
tujilipueni tupange twende kama group kwani tukijuana nini bana, maana uwezo tunao company ndio hatuna, maana kam hawatupeleki si bora tujipeleke wenyewe?
kweli swahiba
sasa kutakua na tofauti gani na home, maana vyumba vyetu ndio hivyo ukiachia ushuzi inabidi mkae nje masaa kenda jinsi vilivyo vidogo... choo ndo hivyo tena hakuna cha baba wala mama, ukitoka tu unaona mitoto inakodoleana macho na kucheka... tena choo na bafu united mkuu, dodoki moja, jiwe moja nk
nikijipendela huwa nahakikisha cha kwanza ni size ya chumba, ukubwa wa choo/bafu na visibility, maana kwetu ni vibanda vya mangi na mabati yenye kutu
YOU HAVE MADE MY DAY DUH!!
VERY IMPORTANT MAZEE,...........Duh so inabidi tufanye SWOT au SWOC analysis sio ili tupate ladha tofauti na majumbani kweut loh
..........Save water drink beer!!!
...halafu mtm unajua?...thamani na hadhi ya mtu inategemea na unapojitutumua kumpeleka.
Kumpeleka mamsap guest house wakati mlipotongozana ilikuwa highlife, ni kumvunjia heshima kwa kiwango kikubwa. Hata mungu hapendi..
...1st date ni 3*** star place na kupanda juu...tumia pesa ikuzoee ndivo asemavyo BJ. Mtaodhani na kibri poleni, my soulmate ni 5***** star quality!
...dah, leo mauzo hayajanikalia sawa.
Mamsap atanielewa kweli?
Jipangeni jamani, maisha yenyewe haya haya..mnajidai kungojea paradise ilhali ibada zenyewe za kuongezea salio (pay as you go)...
Yeah, we all want to do this for our wives/husbands, to re-kindle our love
But, truly, an innocent Tanzanian salary man/woman can afford this luxury?
I doubt, may be, after saving for a life time!!
Cheers!