Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Ndugu JF Dokta,
Naomba kuelimishwa juu ya hili kitu kwa sisi tuishio vijijini ambapo kupata huduma ya kupima ua kufanya medical check-up kila baada ya mwizi inakuwa ngumu.
Je tunaweza kupima afya ya mwili kutoka na frequency ya haja kubwa au haja ndogo anayoipata binadamu kila siku?
kwa mtu mwenye afya salama anatakiwa apate haja kubwa mara ngapi kwa siku...?
Samahani kwa watakao kwazika tunaelimishana
Naomba kuelimishwa juu ya hili kitu kwa sisi tuishio vijijini ambapo kupata huduma ya kupima ua kufanya medical check-up kila baada ya mwizi inakuwa ngumu.
Je tunaweza kupima afya ya mwili kutoka na frequency ya haja kubwa au haja ndogo anayoipata binadamu kila siku?
kwa mtu mwenye afya salama anatakiwa apate haja kubwa mara ngapi kwa siku...?
Samahani kwa watakao kwazika tunaelimishana