EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Aisee ndio muasisi maana Msemaji Mkuu wa Serikali alichukua madini kwa huyu jamaa π π
Ulimuona eeh anasema "kwani mbio zenyewe zinasemaje?" [emoji1322][emoji1322][emoji1322]Nilipoona tuu kichwa cha thread, nikajua atakuwa Msigwa tuu huyu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kukimbia kusiko haraka?Jana katika page ya Garson Msigwa alijirecodi anakimbia, sikutilia maana nikajua ni swaga tu kaamua.
Jana hiyo hiyo kwenye mitandao ya jamii nimeona clips nyingi za watu wanafanya the same ila sijajua whats the motive behind?
hebu wakuu nijuzeni maana sisi wazee haya mambo hatuyajui
Umesoma vizuri heading??Kuna kukimbia kusiko haraka?
Ndio na mimi nikashangaa, wanatulia MB zetu kwenye simuSimu janja zimekosa kazi ya kufanya nazo,
Nimeiona anadai iwekewe sukari π π πUjinga tu, hata kule Twitter niliona clip ya mdada anakumbia anaomba K vant ipunguziwe makali..!
Hahaha,hiyo video nakumbuka nilimtumia bi mkubwa wasup,asee alicheka mpaka akapaliwa... lolKuna moja niliionaga zamani kidogo jamaa ananena kwa lugha huku anajirekodi kwa selfie si amamuona jini kavaa nguo nyeupe alitoka nduki balaa πππ
Kale kavideo kanachekesha saaana mwenyewe nlipoiona nlichekaga saaaana π πHahaha,hiyo video nakumbuka nilimtumia bi mkubwa wasup,asee alicheka mpaka akapaliwa... lol