EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Jana katika page ya Garson Msigwa alijirecodi anakimbia, sikutilia maana nikajua ni swaga tu kaamua.
Jana hiyo hiyo kwenye mitandao ya jamii nimeona clips nyingi za watu wanafanya the same ila sijajua whats the motive behind?
Hebu wakuu nijuzeni maana sisi wazee haya mambo hatuyajui
Jana hiyo hiyo kwenye mitandao ya jamii nimeona clips nyingi za watu wanafanya the same ila sijajua whats the motive behind?
Hebu wakuu nijuzeni maana sisi wazee haya mambo hatuyajui