kujishusha ni tabia ya mtu,anybody can groom to it. tatizo linakuja kwenye definition ya 'kosa'. it is a relative term lakini kuna wanandoa wanafanya maisha kuwa magumu.kuna mwanaume anataka mkewe aombe ruhusa ya kusafiri kikazi, kuhudhuria issue za ndugu zake etc. ila kujishusha mahali popote pale ni muhimu, iwe kwa mwenza,kwa ndugu(wa pande zote), kazini na hata kwa majirani.
kuhusu mwenza kuwa hakubali kujishuha hata kama amekosea,naamini kwenye kumpa kila mtu nafasi ya kufikiria juu ya kilichotokea,they ussually come around na kugundua. just dont overdo it and dont stress over petty stuff,ladha ya maisha inapungua.