JF Doctor
Mimi ni Kijana wa Miaka 29 kwa week mbili sasa nimekumbwa na tatizo ambalo sijui ni nini,Ila for the last two weeks nilikuwa na matatizo{Stress} na nilikuwa najitahidi kujilazimisha kula ili nisije kupata matatizo na namshukuru Mungu matatizo yameisha lakini tatizo ni kwamba kila nikila siwezi kumaliza chakula kwani najisikia kichefuchefu na huwa wakati mwingine natapika,nimefanya checking ya Malaria ikaonekana hamna kitu,najitahidi sana kula hata kama sina hamu lakini nitakunywa vitu vya majimaji na kadhalika,kwa kweli najiuliza tatizo nini,naomba Doctor unisaidie kuna symptom ya Ugonjwa wowote?
Mimi ni Kijana wa Miaka 29 kwa week mbili sasa nimekumbwa na tatizo ambalo sijui ni nini,Ila for the last two weeks nilikuwa na matatizo{Stress} na nilikuwa najitahidi kujilazimisha kula ili nisije kupata matatizo na namshukuru Mungu matatizo yameisha lakini tatizo ni kwamba kila nikila siwezi kumaliza chakula kwani najisikia kichefuchefu na huwa wakati mwingine natapika,nimefanya checking ya Malaria ikaonekana hamna kitu,najitahidi sana kula hata kama sina hamu lakini nitakunywa vitu vya majimaji na kadhalika,kwa kweli najiuliza tatizo nini,naomba Doctor unisaidie kuna symptom ya Ugonjwa wowote?