Mom Fay
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,059
- 316
Mkuu, Mom Fay yaani shida ya huyu naona yeye na maji tofauti kabisa sasa sijui utamnyenga vipi ili aoge!
mimi hata sijajua ni kwamba anaogopa maji ya barid au ni uvivu!...au anasahau huo mda,au anakuwa bize,sijajua sababu,pia na umri wake,na anaishi na nani