kujistukia unapoenda msalani

Aisee!!watu watalazwa kwa vicheko kwa hizi comment [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Kama huku kwetu kigogo, unakuta choo kipo juu juu, unakuta wadada wamekaa kwenye ngazi za kupandia chooni, sasa ukiingia ndani ukianza kuachia labda utangule kwanza ufyuzi, sasa huo ufyuzi kama ulitoa bila kuweka silencer, kutoka inakuwa shuguli, unaweza anguka kwenye vingazi, hata wakicheka kwa mambo yao unahisi wanakucheka wewe, bongo balaa,hasa huku kwetu uswazi
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Aisee una visa na mbavu zangu duh!!
 
Hahaha,unajua ile unaingia halaf unafungua shower kwanza au bomba ya maji ili ukianza achia mashuzi saut isisikike,hahahahahah,..noma sana,...

madem zangu wakijaga kwangu hua siwaon wakiingia washroom kuny*a hata sku1
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] unaweka silencer. Huu uzi una comment vunja mbavu.
 
Jaman hamnaa vyoo vilivuonipa shida kujisaidiaa kama vya block 7 udsm daaaaah yaaan mpkaa namalizaa chuo kupuuh ilikuwa ni ya tabu tabu labda siku za weeknd ndo kidogo nilikuwa naenjoy kupuuh ilaa chuoni nako timing muhimu saaaana sema uzuri wake tulikuwa tunasindikizana mmoja anabaki mlangoni ana kulindiaa mtu asije akaingiaa
 
Kama kula mna kula hadharani tena mnaita msosi wa kweli baada ya kula vizuri lazima ukakate gogo wala hamna haja ya kujificha au kuona aibu tule hadharani tunye hadharani kwa nini tunajificha wakati wa kupupu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha,unajua ile unaingia halaf unafungua shower kwanza au bomba ya maji ili ukianza achia mashuzi saut isisikike,hahahahahah,..noma sana,...

madem zangu wakijaga kwangu hua siwaon wakiingia washroom kuny*a hata sku1
Kwingine hakuna shower nikavu hivyo hivyo unaingia na maji yako sasa yasitoshe utoke bila kunawa vizuri, wanaziba na pua kabisa
 
hahahah dah, dah silencer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…