shinji jr
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 276
- 321
Aisee!!watu watalazwa kwa vicheko kwa hizi comment [emoji38] [emoji38] [emoji38]Kweli mkuu alafu unakuta kuna mjinga mjinga anakuletea kauzibe anakaa karibu na msalani kama hamna sehemu nyengine za kwenda kukaa
Nikikukuta nakukata makofi maana raha ya kukata gogo uwe na uhuru wa kujiachia maana vinaweza kushuka vitu na milio ya vuvuzela,tarumbeta,mabumu,risasi,yani chochote kinaweza kutokea.