Ni kwamba andika barua kwa mwajiri ya kuomba kujitoa kwenye hicho chama,utatolewa kwenye chama na makato yatasitishwa!!
Kuna waraka mpya wa utumishi wa umma unaoelezea suala hili la vyama vya wafanyakaz na namna ya kujitoa!!
Inaruhusiwa kabisa kujitoa!