Kujitolea kwenye kampuni hasa viwanda

Kujitolea kwenye kampuni hasa viwanda

yunus75

Member
Joined
Dec 27, 2023
Posts
11
Reaction score
10
Habari waungwana naamini kuna wengi sana walio nitangulia naamini nitapata mawazo chanya, kwa sasa nipo DSM ila nataka nitume maombi ya kujitolea kwnye viwanda vilivyopo Mbeya, Iringa, Njombe, na sehemu nyingine makampuni ya Coca, Mo, Asas, ili niweze kujitolea nina imani ya kuwa wanaweza kunilipa hata kiasi kidogo ili niweze kuendeshea maisha huku nikisubiri fursa kubwa ambazo zinaweza kujitokeza hapo.

Je, mawazo yangu yatakuwa sahihi au ninakosea wapi kwenye hili ninaloliwaza.

Ninasoma BBA business administration kwa sasa.
 
Hawatakulipa hata hamsini, hata hiyo nafasi ya kujitolea kuipata tuu labda uende kama mwanachuo ambae ameenda field training na swala la kulipwa sahau.
Zunguka hapo hapo dsm ulipo uombe nafasi wakulipe japo laki mbili.
Na kazi utafanya saa 2 asubuhi hadi saa 1 usiku.
 
Aixee sikushauri,sikuhizi mtu anaejitolea anaonekana km Hana maana kabisa,na mtu wakaribu alienda jitolea ,hapo njombe,aliowakuta wanasepa kaanza mmoja kakaa miezi mitatu,anapika kazi balaa Ila hata mia cheche,mwingine miezi sita hajapewa hata mia,siku anaondoka anawaaga hawajali kitu,wanamwambia kawasalimie huko,
Seriously mtu kajitoa miezi sita hammlipi hata kumpa hela ya maji hamna,na niwakike sasa mpaka akajiongeza akamwambia Mkurugenzi naomba hata hela ya njian ndo kumpa 20k napo kwa shida so kuwa makini unapoeenda naufanye uchunguzi,kunasehem zingine hakuna hata future
 
Aixee sikushauri,sikuhizi mtu anaejitolea anaonekana km Hana maana kabisa,na mtu wakaribu alienda jitolea ,hapo njombe,aliowakuta wanasepa kaanza mmoja kakaa miezi mitatu,anapika kazi balaa Ila hata mia cheche,mwingine miezi sita hajapewa hata mia,siku anaondoka anawaaga hawajali kitu,wanamwambia kawasalimie huko,
Seriously mtu kajitoa miezi sita hammlipi hata kumpa hela ya maji hamna,na niwakike sasa mpaka akajiongeza akamwambia Mkurugenzi naomba hata hela ya njian ndo kumpa 20k napo kwa shida so kuwa makini unapoeenda naufanye uchunguzi,kunasehem zingine hakuna hata future
Kabisa sehemu zingine wanazngua sana mtu anajitolea ila hta maji hawatoi.
 
Back
Top Bottom