Kujitolea wakati wa likizo kada ya chemistry

Kujitolea wakati wa likizo kada ya chemistry

Tommy 911

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2019
Posts
600
Reaction score
510
Habarini Wana JF
Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili nasoma Bsc in chemistry. Hivyo nahitaji kujitolea wakati wa likizo kuanzia mwezi wa nane Hadi kumi na moja. Mwenye connection kiwanda chochote au mwenye kujua taratibu za kupata nafasi naomba Msaada.

@everyone
 
Habarini Wana jf...mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili nasoma Bsc in chemistry. hivyo nahitaj kujitolea wakati wa likizo kuanzia mwezi wa nane Hadi kumi na moja. mwenye connection kiwanda chochote au mwenye kujua taratibu za kupata nafasi naomba Msaada.
@everyone
Hivi hiyo ni degree ya Ualimu au
 
Huyo sio mwalimu ni chemists, ila baada ya kumaliza nasikia wanakuwa walimu
Tangu 2014 sehemu za field huwa ni shida sijui kwa sasa

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom