Kujiunga CHADEMA sasa Kidigitali, hakuna haja ya kupanga Foleni

Kujiunga CHADEMA sasa Kidigitali, hakuna haja ya kupanga Foleni

CDM kama mnahitaji michango ya kampeni mseme tu, sio mnakuja na mipango ya kilaghai kama hii
 
Wasije wale jamaa wa mikocheni wakaidukua tu.


Let's meet at the top, cheers 🥂
 
WaTanzania wanaojua play store ni kitu gani ni thelusi ya wananchi wote,na walioko mjini na ni thelusi ya wote watakao pakua hiyo App..yani nchi yangu bana
Jiandae uende kwenye tukio kubwa
LA zuchu uuu

Ova
 
Hakika Chapombe Mbowe is so genious....he knows how to play with his Nyumbus... this is pure business and its Mbowe’s Business and he is in need of money let him make money!


Mbowe is so genious...
 
Si na nyie mbog
Hakika Chapombe Mbowe is so genious....he knows how to play with his Nyumbus... this is pure business and its Mbowe’s Business and he is in need of money let him make money!


Mbowe is so genious...
Na nyie mbogamboga mufanye biashara kama hii
 
Tuwaruhusu na kunywa pombe maana baadaye watakuwa wazima vilevile.
Ngumbaru bwana! Yaani mpaka mnatia huruma, haya mambo ya kisasa kwa dunia ya kisasa.
Ndio mambo ya kujivunia katika ulimwengu huu tofauti na kujivunia ndege iliyonunuliwa cash kwa nusu Trilioni na imepaki tuu Airport na kilometa zisizo zidi 50 kuelekea kusini unakutana na wananchi wanakunywa maji na ng'ombe mchana kwenye bwawa ambalo usiku fisi na nguchiro nao wanakuja kujivinjari.
 
Ngumbaru bwana! Yaani mpaka mnatia huruma, haya mambo ya kisasa kwa dunia ya kisasa.
Ndio mambo ya kujivunia katika ulimwengu huu tofauti na kujivunia ndege iliyonunuliwa cash kwa nusu Trilioni na imepaki tuu Airport na kilometa zisizo zidi 50 kuelekea kusini unakutana na wananchi wanakunywa maji na ng'ombe mchana kwenye bwawa ambalo usiku fisi na nguchiro nao wanakuja kujivinjari.
Irrelevant!
 
Haya mambogamboga yapate wapi akili kama hii? Yana waza kununua wabunge wa chadema badala ya kukularabati shule za msingi huko vijijini
maCCM yanateseka hahahahh!!
 
Mbona inatoa mwanya hadi kwa wanafunzi wadogo wanaomiliki smartphone kujisajili?
Au kuna hatua inawadhibiti wao kufanya hivyo ndani ya huo mchakato wa kujisajili?
Heri ya hao wanafunzi, hawana madhara makubwa kuliko wachafuzi wengine, hasa kutoka kwa mahasimu wao.

Ni lazima pawepo na hatua ngumu ya kuzuia hujuma katika usajiri huo. Waongeze hatua ya 'verification' kabla ya kufikia hatua ya mwisho.
 
Heri ya hao wanafunzi, hawana madhara makubwa kuliko wachafuzi wengine, hasa kutoka kwa mahasimu wao.

Ni lazima pawepo na hatua ngumu ya kuzuia hujuma katika usajiri huo. Waongeze hatua ya 'verification' kabla ya kufikia hatua ya mwisho.
Nakazia verification ni muhimu .
 
Back
Top Bottom