Wadau,
Nilipata kusikia kua kuna vijiji unaweza kuomba uanachama wa kijiji ukawa na wewe ni mwanakijiji mwenzao kisha ukiomba mashamba wanakupa (yoteyote).
Hii nimeisikia kua kuna taratibu za kuomba huo uanachama wa kijiji kwa kulipia gharama mbalimbali za vikao vya kukujadili, posho za wajumbe e.t.c.
Wakati wa kusuburi hao wanakijiji kukujadili inatakiwa uwe unatembelea mara kwa mara kijijini kupiga nao story za hapa na pale, ikiwezekana ukiwakuta hata maskani wanacheza bao au kupiga story nawqe unajiunga nao, na kama ni kwenye vilabu basi unazungusha nao raundi kama kawaida.
Nimeambiwa kua kwa mtaji huu unaweza ukapewa hata Hekari 50 - 100 kwa gharama labda isiyozidi 1.5Million kwa jumla. Na maeneo ya Mkoa wa Pwani ndani ndani huko (tuseme labda Kisarawe, Chole Samvula, Mzenga, e.t.c) ndio mambo haya yapo.
Kuna mdau yoyote mwenye idea na hii kitu?
Najua kuna wadau wangu wa kilimo hapa wako deep kwenye hizi issue.
Nilipata kusikia kua kuna vijiji unaweza kuomba uanachama wa kijiji ukawa na wewe ni mwanakijiji mwenzao kisha ukiomba mashamba wanakupa (yoteyote).
Hii nimeisikia kua kuna taratibu za kuomba huo uanachama wa kijiji kwa kulipia gharama mbalimbali za vikao vya kukujadili, posho za wajumbe e.t.c.
Wakati wa kusuburi hao wanakijiji kukujadili inatakiwa uwe unatembelea mara kwa mara kijijini kupiga nao story za hapa na pale, ikiwezekana ukiwakuta hata maskani wanacheza bao au kupiga story nawqe unajiunga nao, na kama ni kwenye vilabu basi unazungusha nao raundi kama kawaida.
Nimeambiwa kua kwa mtaji huu unaweza ukapewa hata Hekari 50 - 100 kwa gharama labda isiyozidi 1.5Million kwa jumla. Na maeneo ya Mkoa wa Pwani ndani ndani huko (tuseme labda Kisarawe, Chole Samvula, Mzenga, e.t.c) ndio mambo haya yapo.
Kuna mdau yoyote mwenye idea na hii kitu?
Najua kuna wadau wangu wa kilimo hapa wako deep kwenye hizi issue.