Kujiuzulu kwa Ndugai: Bunge ladaiwa kufuta taarifa kwa umma ilizochapisha katika tovuti yake na ukurasa wake wa Twitter

Noma sana !
Mimi sijui mfumo wa hizi machine za kisasa yaani computer! Je wamefuta kwa maana ya kufuta kwenye kioo au wamefuta kwa maana ya kuondoa ndani ya computer zao? NA KAMA ilinakiliwa na kuhifadhiwa na mtu mwingine, hapo mwongo ni nani?
 
Mimi sijui mfumo wa hizi machine za kisasa yaani computer! Je wamefuta kwa maana ya kufuta kwenye kioo au wamefuta kwa maana ya kuondoa ndani ya computer zao? NA KAMA ilinakiliwa na kuhifadhiwa na mtu mwingine, hapo mwongo ni nani?
Kamanda usituletee ujuaji hapa, kufuta kwenye kioo unamaana gani hasa?
 
Unamkumbuka Leo Lwekamwa?
Alikuwa Chairman wa TLP kabla ya Lyatonga

Kwny Mkutano wa hadhara pale Jangwani wakati wa Mkapa alisema hivyo akaichukua katiba akaikanyaga kanyaga pale Jukwaani

Aligombaniwa kama mpira wa kona na dola
Katiba ya nchi hii ni kama gazeti la kufungia maandazi!
 
 
Kiukweli hii nchi tumekaa kishamba sana.

Inaakuwaje mtu anajiuzuru bila kufata utaratibu?

Hata hivyo basi, Inakuwaje mtu anajiuzuru bila kuandika sababu ya kujiuzuru?

Vizazi vijavyo vitakuta historia gani?

Naomba Barua iandikwe upya.
Serikali iliyopo iliingi madarakani kwa njia za udanganyifu, hatushangai kuona inaendelea kufanya udanganyifu katika kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…