Hahaha halafu unaridhika kabisa unaona fresh tuUmenikumbusha mbali[emoji23]
Nilikuwa natumwa mbali kashata za Nazi.
Za Tzs100/= zilikuwa 10.
Halafu napewa kakashata kamoja tuu.[emoji17][emoji17][emoji17]
Sent using Jamii Forums mobile app
Namuombea Uyo dogo asiingie kwenye siasaNimekuta madogo watatu wanagawana maandazi. Wamenunua maandazi mawili sasa kila mmoja anataka achukue moja halafu atakayekosa wamgawie, kilichonichekesha ni dogo mmoja kajiongeza fasta kawabia haya chukueni mnikatie nusu nusu. Madogo waliochukua maandazi wamefurahi wakajiona wajanja sana halafu wakamkatia mwenzao nusu nusu tena kwa tabasamu usoni wakifikiri wao ndo wamefaidi kumbe wamejipunja bila kujua.
Kweli kujua hesabu raha sana. Hebu tukumbushe wewe utotoni ulitumia mbinu gani kuwapunja wenzako vitu mlivyopaswa kugawana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Umenikumbusha mbali[emoji23]
Nilikuwa natumwa mbali kashata za Nazi.
Za Tzs100/= zilikuwa 10.
Halafu napewa kakashata kamoja tuu.[emoji17][emoji17][emoji17]
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀
HahahahahahahUmenikumbusha mbali[emoji23]
Nilikuwa natumwa mbali kashata za Nazi.
Za Tzs100/= zilikuwa 10.
Halafu napewa kakashata kamoja tuu.[emoji17][emoji17][emoji17]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha we nomaMi nilikuwa nikitumwa naomba nyongeza, nikipewa nyongeza nagonga kwanza na nikipeleka nilichotumwa mgao uko pale pale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"[ᴬ ᵍᵒᵒᵈ ᵖˡᵃⁿ ᵛⁱᵒˡᵉⁿᵗˡʸ ᵉˣᵉᶜᵘᵗᵉᵈ ⁿᵒʷ ⁱˢ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ ᵗʰᵃⁿ ᵃ ᵖᵉʳᶠᵉᶜᵗ ᵖˡᵃⁿ ᵉˣᵉᶜᵘᵗᵉᵈ ⁿᵉˣᵗ ʷᵉᵉᵏ"
Mmmh sh mia ya noti ??? Mkuu utakuwa umekuwa mhenga sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ulitaka upewe zote?
Mimi nakumbuka niliwahi kuokota tsh 100 (noti) nikaishia kupewa kitawa (ndizi zilizochanganywa na maziwa).
Nikikumbuka najiona nilikua mjinga sana kurudisha ile pesa.
Mdogo wangu alikuwa analia sana asipopewa kwenye chupavipi kuhusu soda... enzi za utoto bora unywee soda kwenye Chupa kuliko kumiminiwa kwenye kikombe
😀😀Mdogo wangu alikuwa analia sana asipopewa kwenye chupa