Daviie
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 1,294
- 1,480
Nimekuta madogo watatu wanagawana maandazi. Wamenunua maandazi mawili sasa kila mmoja anataka achukue moja halafu atakayekosa wamgawie, kilichonichekesha ni dogo mmoja kajiongeza fasta kawabia haya chukueni mnikatie nusu nusu. Madogo waliochukua maandazi wamefurahi wakajiona wajanja sana halafu wakamkatia mwenzao nusu nusu tena kwa tabasamu usoni wakifikiri wao ndo wamefaidi kumbe wamejipunja bila kujua.
Kweli kujua hesabu raha sana. Hebu tukumbushe wewe utotoni ulitumia mbinu gani kuwapunja wenzako vitu mlivyopaswa kugawana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kujua hesabu raha sana. Hebu tukumbushe wewe utotoni ulitumia mbinu gani kuwapunja wenzako vitu mlivyopaswa kugawana
Sent using Jamii Forums mobile app