Kujua kama mwanamke ni mjamzito

marko maluli

Senior Member
Joined
Mar 14, 2015
Posts
164
Reaction score
49
Naomba kuuliza swali hivi mwanamke anaweza kuonekana ni mjamzito baada ya siku/miezi mingapi ?
Na dalili zake ni zipi naomba kujibiwa tafafhali
 
Sasa hayo ndio majibu au mmekuja kchat kama hauji bora ukae kimya
 
Kwa Dunia Ya Sasa Hatuulizi maswali ya Miaka Ya 90.. ukiona Amekosa Hedhi na Mlifanya Siku za Hatari Mpeleke Hosp akapimwe UPT.(urinary pregnancy Test)....
 
Kwa Dunia Ya Sasa Hatuulizi maswali ya Miaka Ya 90.. ukiona Amekosa Hedhi na Mlifanya Siku za Hatari Mpeleke Hosp akapimwe UPT.(urinary pregnancy Test)....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…