marko maluli
Senior Member
- Mar 14, 2015
- 164
- 49
Naomba kuuliza swali hivi mwanamke anaweza kuonekana ni mjamzito baada ya siku/miezi mingapi ?
Na dalili zake ni zipi naomba kujibiwa tafafhali
Na dalili zake ni zipi naomba kujibiwa tafafhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si wote wenye tumbo kubwa wana mimba.Utajua ukiona tumbo limekuwa kubwa.
Thanks tupo pmjKwa Dunia Ya Sasa Hatuulizi maswali ya Miaka Ya 90.. ukiona Amekosa Hedhi na Mlifanya Siku za Hatari Mpeleke Hosp akapimwe UPT.(urinary pregnancy Test)....